Apple sasa waondoa USB port

mkorinto

JF-Expert Member
Jun 11, 2014
30,703
37,313
baada ya minong'ono ya muda mrefu kwamba Apple katika simu zao za 2020, ambazo zinatarajiwa kuwa apple iphone 9(se 2)12,12pro,12 pro max, kuhamia usb type c, sasa kama kawaida yao wazee suprise wamekwepa umbea na kuamua kuja na idea yao mpya kabisa,wanatoa kabisa tundu la charger,hivyo hatutarajii tena kutumia simu ikiwa ina chajiwa.

japokuwa wadau mbali mbali wametabiri changamoto katika uhamishaji wa data kutoka katika vifaa nje ya ecosystem ya apple,lakini bado apple wanaonyesha wamejipanga kabisa na mabadiliko hato,kwani hiyo wireless charger itakuwa na uwezo huo wa kuhamisha files pia.

ndio, tech inakwenda kasi, tusubiri Mkorea atakuja na kitu gani kama jibu.
 
baada ya minong'ono ya muda mrefu kwamba Apple katika simu zao za 2020, ambazo zinatarajiwa kuwa apple iphone 9(se 2)12,12pro,12 pro max, kuhamia usb type c, sasa kama kawaida yao wazee suprise wamekwepa umbea na kuamua kuja na idea yao mpya kabisa,wanatoa kabisa tundu la charger,hivyo hatutarajii tena kutumia simu ikiwa ina chajiwa.

japokuwa wadau mbali mbali wametabiri changamoto katika uhamishaji wa data kutoka katika vifaa nje ya ecosystem ya apple,lakini bado apple wanaonyesha wamejipanga kabisa na mabadiliko hato,kwani hiyo wireless charger itakuwa na uwezo huo wa kuhamisha files pia.

ndio, tech inakwenda kasi, tusubiri Mkorea atakuja na kitu gani kama jibu.
Naomba wasije wakawaambukiza haya makampuni mengine ya simu maana mafundi wa kuflash itakula kwao. Lakini nadhani wakilifikiria hilo hawatakurupuka maana maintenance itafanyika vipi?
 
Kwenye tech hakuna kinachoshindikana. Unaweza kuflash simu bila computer. Hiyo hiyo simu unatumia kuflash na kitu kinapokea OS mpya sema hii njia ni ndefu kidogo ila kwenye computer huwa ni fasta. Kama wireless charger inaweza kutumika kutransfer files basi mchezo umeisha kwa maana hiyo inaweza kutumika kupokea mafile. Kamuulize Nokia na Flash tool yake yake ya Online Update Tool. Watu wanatumia kitu offline badala ya online. Walete tu maana ndiyo fursa za mafundi kupiga hela, Walipoleta Google Account verification, Privacy lock, Samsung Account, modem, router na simu zinazotumia mtandao mmoja walidhani wamewakomoa watu kumbe ndiyo fursa za kupiga pesa.
Naomba wasije wakawaambukiza haya makampuni mengine ya simu maana mafundi wa kuflash itakula kwao. Lakini nadhani wakilifikiria hilo hawatakurupuka maana maintenance itafanyika vipi?
 
una ndoto wewe, umesoma kwenye website za udaku, cable itakuwepo miaka 5 ijayo usitegemee itaondolewa leo, ungesema 2020 wanahamishia iphone zao kutumia usb-c tungekuelewa, ila kusema wanaondoa kabisa port zote unajidanganya.
 
una ndoto wewe, umesoma kwenye website za udaku, cable itakuwepo miaka 5 ijayo usitegemee itaondolewa leo, ungesema 2020 wanahamishia iphone zao kutumia usb-c tungekuelewa, ila kusema wanaondoa kabisa port zote unajidanganya.
tetesi za mwanzo ilikuwa hivi,lakini ya sasa kutoka vyanzo vya kuaminika ni hii.
 
Apple wao wafike hata iphone 34 ila ushamba wangu nimeamua

kubaki na 6s na s6 edge plus yangu,yani samsung wafike hata wapi

sinunui simu zaidi ya s6 edge plus,iphone hata wafike wapi sinunui zaidi ya 6s
maana hamna namna,watakuua hawa ukisema uitike kila wakikuita.

mimi niko na iphone 5s,nasubiri siku ikikataa kuchukua watsapp na insta au jf ndio nitafikiria kuhamia juu.
 
Apple wao wafike hata iphone 34 ila ushamba wangu nimeamua

kubaki na 6s na s6 edge plus yangu,yani samsung wafike hata wapi

sinunui simu zaidi ya s6 edge plus,iphone hata wafike wapi sinunui zaidi ya 6s
Itafika time izo simu zitakuwa outdate na hazipokea matoleo mapya ya OS ivo itakubidi tu uhame mkuu mana imagine saivi Apps kama whatspp au Instagram haiko supported kwa simu zenye android below 4.0. Sasa hawa wenye simu zenye hio android unafikiri bado wataendelea kungangania izo device ile hali grand apps tu hazisupport.
 
Back
Top Bottom