mzee wa bani ujambo ?Huenda wanataka kuja kuwateka watu kiaina.
hapa walipiga hesabu vibaya.
mwaka huu 2021 simu zenye display ndogo hazina maana tena.ndio maana mapokeo ktk kisimu hicho ni hafifu.
Siku hizi simu zenye display ndogo hazina soko kabisa.
Mkuu bado uko kwa apple au ulishawakimbia?Siku hizi simu zenye display ndogo hazina soko kabisa.
Na kioo kidogo hivyo haili chaji sana.Sim yenye size ndogo hata battery inakuwa ndogo na motherboard inakuwa complicated sababu ya space
watu wanaongelea simu wewe unaongelea vitu gani mkuusimu NI Samsung .
S 9,s10
S9 note s10 note.
Nazikubali sana