Mchoraji Cyper255
JF-Expert Member
- Nov 21, 2012
- 1,781
- 6,140
Nitamushangaa kama team value bado haijafika 100%
Nitamushangaa kama team value bado haijafika 100%
Uninstall hiyo game download, dawnload upya.Nime update dream league soccer 17
Naona saizi linazingua halitaki kufunguka [emoji43][emoji43][emoji43] nimelifuta zaidi ya Mara mbili lakini linaniandikia
Unfortunately DLS17 is stopped!! HALAFU linajifunga
Tatizo ni nini au nisinge update[emoji41]
Hii ni Mara ya tatu narudia kulifuta mkuuUninstall hiyo game download, dawnload upya.
Ko ufuta kabisa, na data zake una download upya.Hii ni Mara ya tatu narudia kulifuta mkuu
Nimepoteza GB 1.3 za data [emoji21] [emoji21] [emoji21] [emoji21]
NimelipotezeaKo ufuta kabisa, na data zake una download upya.
PspWakuuu kuna hii kitu nishida sana dls ni cha mtoto
Wakuuu kuna hii kitu nishida sana dls ni cha mtoto