Ni dharau tu unazo, mtanzania kiingereza nakifahamu vizuri, ndiyo lugha natumia kila siku. Na ku-google pia najua vizuri ni part of my job. Nimeweka keywords ulizosema hapo, hiyo story imeandikwa kwenye link hizi
Boy clobbered after erect penis mistaken for pistol
Cops beat up teen after bank teller mistakes his erection for a pistol
https://edaily.co.ke/entertainment/...ction-is-mistaken-for-gun-127367/crazy-world/
Yaani site zote ni za udaku, habari ya muhimu kama hiyo uikose kwenye sources kama BBC, CNN??
Sasa na kukuonyesha kua mi si mjinga kama wewe nimerun image search ili kujua hiyo picha waliitoa wapi.
Tafuta story ya mtu anaitwa Jordan Miles, alipigwa na polisi akiwa kwenye stand on trial. Wameiba picha pale wakafoji story kwa sababu wajinga kama wewe mnapenda sana kuzisoma, wao wanapiga hela. Story za uongo zinasambaa kwa speed sana.
Kama huamini ingia google andika Jordan Miles, utapata habari zote, hadi video inayoonyesha picha hiyohiyo na video kabisa ya kilichomtokea jamaa. Next time be smart, sio unakurupuka tu na kupost kila kitu. Hata swala la TBC kua Trump kampongeza Magufuli walitoa kwenye website moja ya kijinga ambayo mbongo alienda akakaa akapost akapiga hela watu mliifungua site ka hamna akili nzuri, tunawaambia hapa kua hamna proof mnakuja kutupa link ambazo hata hazijulikani zimeandikwa na nani. Nikitaka kudanganya watanzania nimeshajua cha kufanya, kupost ujinga kwenye link nne tano tofauti alafu naita habari, ili mradi ipo google mtabeba 100% kama ilivyo.