Apigwa Risasi Baada Uume wake Kudhaniwa ni Bastola

Apigwa Risasi Baada Uume wake Kudhaniwa ni Bastola

Hata kama inaweza likawa sio swala la ubaguzi.Je hao polisi walivyosema "Hands up" au vinginevyo huyo kijana hakutoa ushirikiano au walimpiga tu risasi?
Hands-up utatoa ushirikiano kama kweli ulikuwa katika harakati za kihalifu. Kama hukuwa na hili wala lile tena katika mazingira tulivu kama mle benki sana sana utabaki unaduwaa tu.
 
  • Thanks
Reactions: Qj_
View attachment 531310 Kijana mwenye umri wa miaka 17 yuko mahututi huko Dertoit Medical Center huko Marekani baada ya kushambuliwa na Polisi akidhaniwa ni jambazi. Kijana huyo alikuwa Benki ndipo uume ulivyokuwa mkubwa na kuvimba kwenye suruali ulimfanya cashier kudhani kijana huyo ameficha bastola kwenye Suruali yake akidhamiria kufanya ujambazi ndipo cashier alipiga kingo'ra cha tahadhari ndipo Polisi walipomvamia na kumpiga risasi kijana huyo.
Kijana huyo mweusi kwa jina Jamal Freeman amelazwa hospitali na hali yake sio nzuri, mama mzazi wa Jamal amesema mtoto wake alipigwa risasi kwasababu ya kibaguzi kwani angekuwa mzungu mweupe asingefanyiwa hivyo. mama huyo alidai watu wenye asili ya waafrika wengi huwa wana umbile kubwa kwahiyo hiyo isije ikawa sababu ya kupigwa risasi.
source: Entertainment News- SDE

kweli bana,mwanamme ni mashine
 
Nitaenda zangu kuishi Marekani nikajifaidie tu.
Bongo wanaume zetu wote wana vibamia, na hawajui kuhonga.
 
Dah!!!Inahuzunisha sana ngoja nianze kuvaa mabwanga yasije nikuta na mimi
a60e8198c23894c53ef80c2f763d0c24.jpg
 
Tengua maelezo yako,sema hao unao kutana nao ndio wana vibamia.
Hakuna kitu.
Kuna baadhi ya makabila mnaongoza kwa vibamia.
1. Wachaga, wanajua kutafuta pesa tu...huko kwingine watupu
2. Wahehe, hakuna kitu.
3. Wapare, ndo kabisaaaa hamna kitu....wako flati
4. Warangi, hawa unaweza mpapasa ukajua uko na demu mwenzio.

Ila
Waha
Wajaluo
Wakurya
Wasukuma
Wanyamwezi
Hawa wana mishedede ya nguvu hadi unaililia.

Huu ni utafiti wangu katika kuingiliana nao kotekote.
Sitaki povu...povu kafulieni nguo zenu mlizochezea Idd jana.
 
Hizi habari muwe mnajaribu kuziprove kabla ya kupost, hamna source hata moja ambayo ni ya kuaminika uliyoweka, umetoa kwenye site za udaku tu na kupost.

Msiwe mnakaa mnachangia chuki wakati unakuta story ni ya kutunga. Siku hizi kila kona ubaguzi ubaguzi, wtf
 
Hakuna kitu.
Kuna baadhi ya makabila mnaongoza kwa vibamia.
1. Wachaga, wanajua kutafuta pesa tu...huko kwingine watupu
2. Wahehe, hakuna kitu.
3. Wapare, ndo kabisaaaa hamna kitu....wako flati
4. Warangi, hawa unaweza mpapasa ukajua uko na demu mwenzio.

Ila
Waha
Wajaluo
Wakurya
Wasukuma
Wanyamwezi
Hawa wana mishedede ya nguvu hadi unaililia.

Huu ni utafiti wangu katika kuingiliana nao kotekote.
Sitaki povu...povu kafulieni nguo zenu mlizochezea Idd jana.
Mada yako ina mchango mkubwa. Itabidii mabibi harusi wasome hii profile yako kabla hawajafunga ndoa
 
Hizi habari muwe mnajaribu kuziprove kabla ya kupost, hamna source hata moja ambayo ni ya kuaminika uliyoweka, umetoa kwenye site za udaku tu na kupost.

Msiwe mnakaa mnachangia chuki wakati unakuta story ni ya kutunga. Siku hizi kila kona ubaguzi ubaguzi, wtf
Namtetea Bowie
Screenshot_2017-06-27-14-58-04-1.png
Screenshot_2017-06-27-14-58-14-1.png
 
Hizi habari muwe mnajaribu kuziprove kabla ya kupost, hamna source hata moja ambayo ni ya kuaminika uliyoweka, umetoa kwenye site za udaku tu na kupost.

Msiwe mnakaa mnachangia chuki wakati unakuta story ni ya kutunga. Siku hizi kila kona ubaguzi ubaguzi, wtf
Tatizo kiingereza kinawapa taabu nenda kwenye Google andika Penis Mistaken for a Pistol and then uone ni vyombo vingapi duniani zime cover hiyo news.
 
Hakuna kitu.
Kuna baadhi ya makabila mnaongoza kwa vibamia.
1. Wachaga, wanajua kutafuta pesa tu...huko kwingine watupu
2. Wahehe, hakuna kitu.
3. Wapare, ndo kabisaaaa hamna kitu....wako flati
4. Warangi, hawa unaweza mpapasa ukajua uko na demu mwenzio.

Ila
Waha
Wajaluo
Wakurya
Wasukuma
Wanyamwezi
Hawa wana mishedede ya nguvu hadi unaililia.

Huu ni utafiti wangu katika kuingiliana nao kotekote.
Sitaki povu...povu kafulieni nguo zenu mlizochezea Idd jana.
Duh!!!Hivi kwa nini tusifahamiane ili uweze kujua na sisi washirazi wa pemba tukoje kwenye kutoa dahawa.
 
Hizi taarifa zingine zitakuwa kuna vitu zaidi ya vilivyoandikwa. Maana haiingii akilini kabisa .....
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom