Apigwa Risasi Baada Uume wake Kudhaniwa ni Bastola

Apigwa Risasi Baada Uume wake Kudhaniwa ni Bastola

Bowie

JF-Expert Member
Joined
Sep 17, 2016
Posts
4,373
Reaction score
6,086
image.jpeg
Kijana mwenye umri wa miaka 17 yuko mahututi huko Dertoit Medical Center huko Marekani baada ya kushambuliwa na Polisi akidhaniwa ni jambazi. Kijana huyo alikuwa Benki ndipo uume ulivyokuwa mkubwa na kuvimba kwenye suruali ulimfanya cashier kudhani kijana huyo ameficha bastola kwenye Suruali yake akidhamiria kufanya ujambazi ndipo cashier alipiga kingo'ra cha tahadhari ndipo Polisi walipomvamia na kumpiga risasi kijana huyo.
Kijana huyo mweusi kwa jina Jamal Freeman amelazwa hospitali na hali yake sio nzuri, mama mzazi wa Jamal amesema mtoto wake alipigwa risasi kwasababu ya kibaguzi kwani angekuwa mzungu mweupe asingefanyiwa hivyo. mama huyo alidai watu wenye asili ya waafrika wengi huwa wana umbile kubwa kwahiyo hiyo isije ikawa sababu ya kupigwa risasi.
source: Entertainment News- SDE
 
View attachment 531310 Kijana mwenye umri wa miaka 17 yuko mahututi huko Dertoit Medical Center huko Marekani baada ya kushambuliwa na Polisi akidhaniwa ni jambazi. Kijana huyo alikuwa Benki ndipo uume ulivyokuwa mkubwa na kuvimba kwenye suruali ulimfanya cashier kudhani kijana huyo ameficha bastola kwenye Suruali yake akidhamiria kufanya ujambazi ndipo cashier alipiga kingo'ra cha tahadhari ndipo Polisi walipomvamia na kumpiga risasi kijana huyo.
Kijana huyo mweusi kwa jina Jamal Freeman amelazwa hospitali na hali yake sio nzuri, mama mzazi wa Jamal amesema mtoto wake alipigwa risasi kwasababu ya kibaguzi kwani angekuwa mzungu mweupe asingefanyiwa hivyo.
Pole zake nyingi,yawezekana kweli binti alidhani kijana anatoa bastola na sio swala la ubaguzi.
Ujana Maji ya moto.inanikumbusha enzi zangu za ujana ilikuwa mara nyingine napata mfadhaiko na inabidi nijizibe pumzi ili nirudi katika hali ya kawaida.au nitoe Shati nje .pengine ingekuwa niko Marekani n ingekuwa nimeshadungwa Risasi.
 
Sitakiwi kucheka ila nimeshindwa jizuia, hahahahaha🙂🙂🙂😉😉😉🙁🙁🙁
 
Pole zake nyingi,yawezekana kweli binti alidhani kijana anatoa bastola na sio swala la ubaguzi.
Ujana Maji ya moto.inanikumbusha enzi zangu za ujana ilikuwa mara nyingine napata mfadhaiko na inabidi nijizibe pumzi ili nirudi katika hali ya kawaida.au nitoe Shati nje .pengine ingekuwa niko Marekani n ingekuwa nimeshadungwa Risasi.
Hata kama inaweza likawa sio swala la ubaguzi.Je hao polisi walivyosema "Hands up" au vinginevyo huyo kijana hakutoa ushirikiano au walimpiga tu risasi?
 
Wanaume tumeumbiwa tamaa. Nakumbuka siku moja nikiwa chuo tumepanda daladala hii tabia ya dad zetu wa chuo kuvaa nusu uchi alipanda jamaa fln sit zikiwa zimejaa ikamlazimu asimame. Pembeni palikua na dada yupo nusu uchi kweli Mungu kamuumba. Jamaa alitunisha zigo hatar dada kuona vile akapiga kelele kuuuubwa abiria tukahamaku duuuuuuu jamaa alikua kidume. Huenda dogo alikutana na mazingira tatanushi kama hayo hapo bank nae ana hisia mseselo ukatuna kama ilivyo kawaida yetu mabaya yakamkuta. Hata madada wa banks huvaa nusu uchi hata wake za watu. Mungu amponye huyu kijana.
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom