P chatila
JF-Expert Member
- Oct 1, 2015
- 375
- 283
- Thread starter
- #21
Nimepima battery zipo zero.something .
Wasiwasi wangu ni kwaninihitaki hta kuonyesha power inaingia unapoconnect kwenye umeme
Sent using Jamii Forums mobile app
Wasiwasi wangu ni kwaninihitaki hta kuonyesha power inaingia unapoconnect kwenye umeme
Hivyo vitu navijua vizuri, kama ilikua haina hitilafu but ikaachwa mda mrefu bila kutumika, ujue betri yake imekufa na nikwambie ups unapo connect kwenye umeme yenyewe kabla ya kuwasha taa yoyote cha kwanza ina sense/detect kama betri ipo na ni nzima? Ndipo inaruhusu umeme uanze mzunguko wake.
Kwahiyo anza na hilo Pima betri yawezekana zikawa ni totally discharged.
Sent using Jamii Forums mobile app