Hii michezo tumecheza sana mto Ruvuma na tulikuwa tunatishiwa kuna chunusi (sijui ndio jini) linavuta watu na kuwaua.
Picha ina ujumbe mzito
Mkuu yalikuwa ni makatazo tu. Lakini hiyo hali haikumkuta hata mtoto mmoja.Sio chunusi bali ni mkondo wa maji usioonekana
Mkuu yalikuwa ni makatazo tu. Lakini hiyo hali haikumkuta hata mtoto mmoja.
Ingawa tulivyokuwa Tunarudi home tunakaguliwa macho.
Yakiwa mekundu tu, basi hapo ni kipigo cha haja. Ulikuwa Ngungani (Mtoni) mjinga wewe utavutwa na chunusi![]()