Hujaeleweka mkuu. Unataka free massage au free message?
Kichwa cha thread kinasema massage, nimekuja na number ya 'free massage nimpe', nafika humu nakuta anaongea maswala ya message. ndio maana nimeuliza mkuu... nimekosea?Ahahaah!! Acha kujitoa fahamu RR.
Kichwa cha thread kinasema massage, nimekuja na number ya 'free massage nimpe', nafika humu nakuta anaongea maswala ya message. ndio maana nimeuliza mkuu... nimekosea?
oya kama unatumia pc google mail aka gmail wanaoffer hio huduma ya free sms. Kama ni simu nenda mjoy.com utapata huduma ya free sms.
Hujaeleweka mkuu. Unataka free massage au free message?
I wnt 2 send text 4 free cn u help me?
I wnt 2 send text 4 free cn u help me?
mtafute Cameroon