GIPAMA
JF-Expert Member
- May 21, 2016
- 1,103
- 543
Ndugu wanajamvi, nina dukuduku langu moyoni, nahitaji nimtumie rais barua kwa kuandika na kumuelezea shida yangu.
Je ni njia gani rahisi naweza kuitumia ili rais apate barua yangu? Naombeni ushauri haraka haraka nataka niitune kesho tu.
Kama ni kwa fax, email, ama EMS ni anuani zipi ambapo barua itampata moja kwa moja, kama si yeye basi awe mtu wake wa karibu huko Ikulu?
Naombeni msaada tafadhali.
Je ni njia gani rahisi naweza kuitumia ili rais apate barua yangu? Naombeni ushauri haraka haraka nataka niitune kesho tu.
Kama ni kwa fax, email, ama EMS ni anuani zipi ambapo barua itampata moja kwa moja, kama si yeye basi awe mtu wake wa karibu huko Ikulu?
Naombeni msaada tafadhali.