Anthony Lusekelo: Lowassa mtu safi

Acha uongo mzee, kitu kama hukijui ni bora ukakaa kimya!
 
WapoRadio ni Gamanywa
 
Lusekelo bwana, ila kafanikiwa kwa hili, maana mbali na wafuasi wake naona bavicha wanamshangilia kwelikweli kwa kauli yake hiyo.

Sasa naamini kile kitambaa huwa unafuta jasho litokanalo na mchemko wa supu ya mawe au machozi ya Simba.
 
Anatafutia kiki kwa Lowasa baada ya kuulowanya kwa ulevi
 
Waliomuita mwizi ni sisi CDM siyo CCM, Mpaka sasa nipo dilemma kuhusu chama sahihi cha upinzani wa dhati.
 
Mzee wa upako mjanja, anajua Chadema hata kama unatuhuma kubwa kiasi gain ukiwa upande wao watakutetea Kwa nguvu zote.

Na ndio kinachoendelea hapa, tayari vijana wa bavicha wameanza kumsafisha Na kashfa ya ulevi.!

Hongera Mzee wa Upako Kwa kuwajulia hawa viumbe.!
 
Cha pombe kaanza tena kuropoka ..mind his tongue
 
Tatizo ni la hawa wachungaji kutokuwa na misimamo inayoelewa. Mi namuoma kama Gwajima et al.
 
Jamaa ana akili sana kaona akiponda bavicha Na ndio wamejaa mtandaoni atapotea mapema
Saiv bavicha wanaoji " mna uhakika alikuwa amelewa?
Na EL ilikuwa hivyo hivyo walimuimba ni fisad alipokuwa ccm kaamia kwao wanakuja Na kauli za kuwa ni mtu safi.
Hongera sana Antony umecheza kama nemanja matic....
 
Naomba kunukuu "we nikikuona mahar nakuua"
 
Tatizo watu wamesahau kama lusekelo nae ni binadamu ana moyo kama ulivyo wewe,kisa ni mchunga basi ndo hasikwazike hata mtu akimkwaza?asinywe pindi anapojua na kiu?fuata mafundisho na s matendo yake,yaani mtu akuingize dole la macho hushindwe kuongea eti we mchungaji,huo utakuwa unafiki bora uongee na utoe hasira zako ,zen utatubu kwa nyakati yake,coz toba imewekwa kwa wadhambi,tusihukumu coz sisi s wakamilifu na hakuna mkamilifu dunia hii wote tuna dhambi,I wonder tunashabgaa madhambi ya lusekelo twashindwa safisha yetu,toa boriti kwa jicho lako kwanza
 
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…