WASHE
JF-Expert Member
- Jan 9, 2017
- 746
- 394
AWAMU HII MNATASEMA KILA AINA YA NENO NA BADO MPAKA MTAITA MAJI MUMAHuyu mtu nchi imeshamshinda
AWAMU HII MNATASEMA KILA AINA YA NENO NA BADO MPAKA MTAITA MAJI MUMAHuyu mtu nchi imeshamshinda
Daaah yametimia aseeKikao cha siri ofisini kwa DCI Alhamisi kiliamua Mbowe na wenzake wapelekwe mahakamani Jumanne 17:03:2018, wanyimwe dhamana, kupima joto. Leo Jumatatu katika kikao cha Mwanza, ukumbi wa BoT, kwa maagizo kutoka juu, azimio ni "kamata, funga, poteza, ua watu hawa" kabla ya 26:04:08
Oky na Leo ilivyotokea n chadema wamepanga??Ngurumo unaweza kudanganya watu wengi lakini sio wote. Ulichoandika hapa ni mpango unaosukwa ndani ya CHADEMA kupoteza watu ili serikali ionekane ndio imefanya. Vyombo vya usalama someni kwa makini vitu anavyoondika huyu Ansbert Ngurumo, ama kwa kudhani watu ni wajinga au kujiamini sana anajikuta anatoa mrejesho wa mipango ya ndani ya CHADEMA.
We endelea kuona ni vichekesho but trust me one day utakuja kuvielewa vichekesho vyanguKaribu sana jf yaani umejiunga leo kuja kuleta vichekesho?
Acha maneno ya kimihemko mkuuKama unaipenda ungeipigania kwa kuhakikisha jiwe aka makinikia anachia usukani kwani gari limemshinda.
Kweli mkuu ameua uzalendo kabisa sasa hivi tuna mkoloni mweusiKwa hali ilivyo Tanzania tunaweza kupigwa n.a. kaanchi kadogo kama Malawi naomba tuwaheshimu majirani zetu sana.
Inasikitisha sana kuona nchi ambayo iliitwa kisiwa cha amani hivi sasa inabadilika kuwa bonde la uvuli wa mauti.Inauma mnadanganya watoto wadogo kama nondo wanaharibu maisha yao nyie wala hamjali ili mradi muwafurahishe wazungu!
Wakiutoa waupeleke wapi?Chadema nao si watoe Waraka maana wa KKKT umeshakuwa old school
Shida sio kukamatwa?? Shida ni kwanni mnawanyima dhamana wakati kesi zao zinaruhusu wapewe dhamana..... Mnawanyima kwa faida ya nani na hiyo ndio concern ya AnsbertShetani mkubwa wewe Siri. Afu we ungejuaje. Hiyo ni logical tu. Wamevunja sheria. Wameandamana. Sasa ashikwe nani. Mbona mko fake hivyo. Mtu kakimbia eti huku hatari sasa mkimbizi. Mbona haoti kabla ya Watu kufa. Angemwambia mbowe ahairishe
Anamaanisha madaraka yanapita tu na kwamba ipo siku atakufa na atalipia mabaya yote aliyoyafanya sababu kwa vitendo vyake hivi anaanzaje kuepuka HUKUMU ya Mungu ya moto wa mileleNi anahisi kuwa ni raisi wa Tanzania, anataka kutuletea maendeleo - Kama viongozi wa nchi zilizo endelea ambao hawakuishi milele. Hivyo usitumie kuishi milele kumkatisha tamaa raisi wetu. Je maraisi Amerika wameishi milele? ni raisi gani mzuri aliye wahi kuishi milele? Je wewe utaishi milele? Kwa hiyo unataka aiuze nchi yetu kwa sababu hataishi milele!
Serikali imefanikiwa kwenye nini??? Au hujui hata mchawi anaweza kukufanya upande cheo?? Sio kila mafanikio ni mkono wa Mungu mengine ni akili za kibinadamu tu ndio maana bado maskini kama Mungu angekua upande wetu tusingekuwa tunawatanzania zaidi ya million 35 wanaosurvive chini ya dola moja kwa siku poa tusingekuwa na wananchi million 30 wasiokuwa na access kwa maji safi na salama!!Mungu sikuhizi anawajali wapinzani tu! Serikali mungu haioni? Mbona ndiyo inafanikiwa tu?
Nondo sio mtoto weeeee komaInauma mnadanganya watoto wadogo kama nondo wanaharibu maisha yao nyie wala hamjali ili mradi muwafurahishe wazungu!
Mange for CDM chairpersonTz revolution is facilitated beyond human understanding and beyond human control.
Mungu ana makusudi yake na Tanzania ya leo ndio maana haya yote yanatokea wakati huu
Wakiutoa waupeleke wapi?
Mkuu hili la kuomba kwa waamini ni jema sana lakini kuna wanaoamini mitutu zaidi katika kuleta amani.Kuna watu utafikiri wenyewe wana sehemu nyingine ya kukimbilia. Kumbe watakaoteseka hasa ni mama zetu, dada zetu na watoto wetu. Nilikuwa Congo mwaka juzi. Niliyoyaona kule yanatisha. Ee Mungu kikombe hiki na kiipite nchi yangu niipendayo. Mungu Ibariki Tanzania