Erythrocyte
JF-Expert Member
- Nov 6, 2012
- 119,091
- 221,801
Lawama zote atabeba Kikwete .
Aliyoyasema yashatimia washawekwa ndani tayariMungu wangu,kikao cha BOT mwanza hakikuwa cha polisi kilikuwa cha wadau financial institutions. ...........
Kweli sasa nimeamini uwongo wako umekuponza
Kama hujui kitu nyamaza .Mungu wangu,kikao cha BOT mwanza hakikuwa cha polisi kilikuwa cha wadau financial institutions. ...........
Kweli sasa nimeamini uwongo wako umekuponza
Kikao cha siri ofisini kwa DCI Alhamisi kiliamua Mbowe na wenzake wapelekwe mahakamani Jumanne 17:03:2018, wanyimwe dhamana, kupima joto. Leo Jumatatu katika kikao cha Mwanza, ukumbi wa BoT, kwa maagizo kutoka juu, azimio ni "kamata, funga, poteza, ua watu hawa" kabla ya 26:04:08
Absolutely!Kuona mipango ya kishetani ipangwayo gizani ni kazi ya Mungu.
Whatever...hiyo inaitwa afe kipa, age beki..(azma itimie)“Kamata, funga, poteza, ua, kabla ya 26/4...”
Kwa hiyo wapotezwe na kuuliwa wakiwa kifungoni?
Sio dhambi, ni ushindiUkimuumbua shetani kwa Mungu ni dhambi?
Hiii ni mara ya 2 kusikia kuhusu bot mwanza, niliwahi ona uzi humu ukisema pm nae akizungumzia hiki sualaMungu wangu,kikao cha BOT mwanza hakikuwa cha polisi kilikuwa cha wadau financial institutions. ...........
Kweli sasa nimeamini uwongo wako umekuponza
Hahaha, ana la kusemaAliyoyasema yashatimia washawekwa ndani tayari
COWARDS RUNNING AWAY FROM THE FRONT AND WRITING FROM A SAFE DISTANCE DOES NOT MAKE A PERSON TO BE A HERO. HERE IS JUST ANOTHER MANGEMkuu kipengere gani cha katiba kimevunjwa?
Tatizo la IQ ndogo, hiyo ni tarehe ishirini na sita mwezi wa nne mwaka elfu mbili na kumi na nane.Namba ya maajabu 26042018.
Nipo Butiama huku wazee wanapindua juu chini, lazima adate huyu jiwe
We kweli hujielewa, dunua ni kijijiHuko Finland anajuaje mambo ya ofisini kwa dci kama sio uzushi tu.
Hii post kama ina ukweli fulani vile. Mbowe na wajumbe kadhaa wa kamati Kuu wamefikishwa Mahakamani leo Jumanne. Well, let's wait and see, labda hiyo ni trailer sinema inakuja.Yaani posts nyingine humu zimefanana na vitendo vya 'panya road'