Ansbert Ngurumo amchana Kikwete live...

Kumbe Tanganyika bado tunaweza kupata waandishi wenye kuandika ukweli bila unafiki! Kwa hesabu yangu huyu ni wa pili, natamani nifikishe angalau kumi nitaridhika...
 
kuna nini tena. Ngurumo kamaliza. Mbaya zaidi alichokuwa anawaambia mawaziri alikuwa anadesa, tena kwa jazba. Shame!!
 
Nimemwona anafunga semina leo JK nikamwangalia sana usoni,he is so scared and sorrowful (ana ujasiri wa woga) najiuliza endapo aliyoyaagiza yasipotekelezeka atafanyaje,nahisi anaweza kuchizi
 
Tanzania inahitaji watu wa kweli na wasio na woga kama mwandishi wa makala hii. Watanzania wengi watajifunza tokana na makala hii. Ukweli always unauma lakini unafundisha. Ningefurahi sana kuona na kusikia kwamba hata Raisi wetu na baraza lake la mawaziri wapite hapa na kusoma makala hii. 100% well done and message send.
 
Jamii inabidi kutizama kwa marefu kuhusu uyu mkuu kama si hivyo ango la nch yetu lipo karibu, sana.
 
Tunaomba tuwe tayari kujitoa kwa hali na mali kama Ansbert Ngurumo akiguswa na hasa wanasheria wetu wa humu JF.ninavyojua lazima wamtishe na mikwara mingi.uzuri hii makala imezunguka mitandaoni kama njugu!
There are currently 263 users browsing this thread. (39 members and 254 guests)
wapo hu,mu sasa hiv i kibao wapo kama guest sasa ole wao wamguse tutakula nao sahani moja
 
watoe kwa sababu gani? hayo ni mawazo ya mtu mmoja anaetafuta aitwe kupewa posho. Wala haisumbui kichwa hiyo .

Ndugu yangu una kazi kweli, kuna mtoa mada keshasema hapa ngurumo aliktaa posho ya ccm wakati wa kampeni, sasa unataka kutuambia nini, mbona unashusha heshima yako kwa kutetea upuuzi, watanzania are no longer fools kama unavyodhani?
 
thanx ngurumo lakini aswali yako hatamfikia jk aelewe bcoz hasomi magazeti au chochiote kinachomkosoa kama ulivyosema anapenda kusikia yale mazuri tu kwake
 
ngurumo ni kichwa bwana jamaa hana woga wala hazunguki kichaka, mawaziri aliwachagua mwenyewe hakuna mwananchi aliyemshirikisha tena wengine katoka nao kwenye awamu yake ya kwanza ya miaka mitano anawajua vema sasa huku kuwananga hadharani kunatoka wapi.
 
Kwani kazi ya usalama wa taifa ni nini, mimi nashauri wampangie miadi akutane na rais ili amshauri, sio siri kwamba utendaji wa mkuu hauridhishi, hajawahi kuwajibisha mtendaji wake yeyote pamoja na madudu yote yanayoendelea kutokea, ila kama alivyosema mwenyewe kwamba wasaisizi wa jk wameamua kumwambia anachopenda kusikia, sijui itakuwaje, tatizo ni kwamba taasisi zinazopaswa kutetea maslahi ya nchi sasa zinatetea maslahi ya wateule. Nampongeza ngurumo kwa uwazi na ujasiri wake, tunahitaji waandishi kama hawa ili kujikomboa.

Mkulu mjuaji hashauriki.
 
Natumaini Ansert atakuwa amewapa moyo wale waoga wa kuandika yaliyokweli bila woga. Ansbert endelea kwa nguvu zote!
 
Hizi ndizo gharama za kufanya mambo kwa UWAZI. Angalau mnapata cha kujadili na kuongea. Namuomba JK wetu asikatishwe tamaa na mijadala kama hii. Usiri katika UTENDAJI na kuchukua MAAMUZI ndio uliotufikisha hapa. JK anajaribu kuwa muwazi tunamrudi ile mbaya.
 
Back
Top Bottom