Ningeshauri kuwepo na 'political maturity' badala ya usalama kumtafuta Ansbert serikali ijibu hoja/issues alizoandika huyu bwana. Hii itatujengea a new political culture inayokijita zaidi kwenye mgongano wa mawazo au/na hoja badala ya ku-supress imani/mtazamo tofauti kati yetu.
I hope walio karibu na wakubwa wataona umuhimu sasa wa kuchukulia mgongano wa mawazo kama opportunity ya kuboresha mikakati na utendaji. We need the likes of Ansbert to ingnite public debates on important issues. Dont supress him- answer him.
I hope walio karibu na wakubwa wataona umuhimu sasa wa kuchukulia mgongano wa mawazo kama opportunity ya kuboresha mikakati na utendaji. We need the likes of Ansbert to ingnite public debates on important issues. Dont supress him- answer him.