Mlengo wa Kati
JF-Expert Member
- Feb 16, 2011
- 2,730
- 492
Kweli ingekua CCM ina anguka msinge poteza muda hapa na mbwembwe kibao! Mtapigwa tena na CCM 2015! Hamna Ujanja! Wenzenu wanaenda kimya kimya nyie kelele tu za kujaza watu kwa kuandamana mnaona mmeshawashinda tayari CCM! Jipangeni acheni ubwege nyie Chadema mtaishia tu kusema mmeibiwa kura!