kichwamaji
JF-Expert Member
- Dec 1, 2006
- 232
- 13
Duh unazi huo sasa! ame research nini? unajua maana well researched article?
Article zake zimejaa hisia badala ukweli, chuki binafsi badala usahihi wa habari
Sijaona wala kujifunza chochote zaidi ya kuwa ni pandikizi la chuki kwa Tanzania mwenye mfuto na maono ya kikatoliki
TOPICAL - kama alienda shule - aliondoka bila kujua maana ya neno TAFITI (reserach), na aina za utafiti. Vile vile, amekulia na kulelewa katika makundi dhaifu yenye kujaza bongo za watoto sumu ya UDINI. Sijaona popote katika makala ya Ngurumo, alipojadili Uislamu na Ukatoliki wa mtu yeyote. Nyerere alishasema kuwa watu waliofilisika, wanapokosa hoja wanakimbilia DINI na MAKABILA...