MTAZAMO
JF-Expert Member
- Feb 8, 2011
- 19,643
- 33,427
Tanzania nzima kuna waandishi wawili tu wasiomung'unya maneno,wenye msimamo unaoeleweka na kila raia na wasema ukweli bila woga,Ansbert Ngurumo na saed kubenea.hata kama hatutaki kuwatambua sasa vipo vizazi vitawaenzi.hii makala imenisisimua mno hasa transparent yake kutaja waziwazi mambo yanayowashinda wengi.kuandika hv si kazi nyepesi hasa unapomgusa direct Amri jeshi mkuu na hasa wa nchi zetu hizi za HIPC.(Heavy indebted poor countries)Duh! Usipoelewa hutoelewa chochote duniani.