BabaMorgan
JF-Expert Member
- Dec 18, 2017
- 4,050
- 10,492
Ukiwa strategic person basi mafanikio yataflow kwako kama maji ya mto yanavyoingia baharini yaani ni mwendo wa blessings mpaka unamuuliza Mungu why me!
Sasa Kuna dada zetu waliingia kazini miaka ya tisini ila mpaka siku ya leo bado wapo kwenye position zile zile yaani umri unazidi kwenda ila kazini kama alikuwa secretary enzi anaanza kazi mpaka leo ni secretary sasa nyie mna mengi ya kujifunza kutoka kwa Nayce kabla hamjageuzwa wafanya usafi baada ya kustaafu.
Nayce Moshi Juzijuzi alikuwa kondakta ila leo ni PR(public relation) wa Tilisho twende taratibu tutaelewena. Kama unafikiri ni jambo jepesi basi think twice.
Kila la kheri Nayce Moshi kwenye majukumu yako mapya
Sasa Kuna dada zetu waliingia kazini miaka ya tisini ila mpaka siku ya leo bado wapo kwenye position zile zile yaani umri unazidi kwenda ila kazini kama alikuwa secretary enzi anaanza kazi mpaka leo ni secretary sasa nyie mna mengi ya kujifunza kutoka kwa Nayce kabla hamjageuzwa wafanya usafi baada ya kustaafu.
Nayce Moshi Juzijuzi alikuwa kondakta ila leo ni PR(public relation) wa Tilisho twende taratibu tutaelewena. Kama unafikiri ni jambo jepesi basi think twice.
Kila la kheri Nayce Moshi kwenye majukumu yako mapya