Shuhuli binafsi labda za uchawi.
Anajua jinsi watanzania wanavyomtazama anavyokandamiza hoja za kutetea mafukara kwa kutumia mwamvuli wa Chama Cha Majangili.
Hatari:
Weka Mbali na Tembo.
Hana alichofanya cha kujivunia ktk jimbo lake zaidi ya kujilimbikizia mali tu,amekuja kuvuruga hata Bunge letu tukufu so keshaona hana chake huko aendako.Amekuwa Mbunge kwa miaka zaidi ya 30 na wananchi wameanza kushtuka kulikoni kuendelea kuwa na mtu asiyejali shida na matatizo ya wananchi.
Nadhani pia alikuwa anatafuta kufarijiwa maana kukaa nje ya ulaji ni ngumu,so marafiki walau wamweleze huku nje wanamsemeaje.Atoke huko maana alitamka kuwa maisha ya ubunge ni umaskini so aje huku tupigwe jua pamoja.Ila ukweli jimboni hakuna cha kujivunia alichofanya so anaogopa kuendelea kufukuzwa kwa njia ya kura...!!Mie nadhani alikuwa anawaambia hivyo marafiki zake ili asikie kama watasema "hapana gombea tena wewe bado ni jembe"
Nadhani pia alikuwa anatafuta kufarijiwa maana kukaa nje ya ulaji ni ngumu,so marafiki walau wamweleze huku nje wanamsemeaje.Atoke huko maana alitamka kuwa maisha ya ubunge ni umaskini so aje huku tupigwe jua pamoja.Ila ukweli jimboni hakuna cha kujivunia alichofanya so anaogopa kuendelea kufukuzwa kwa njia ya kura...!!
Shuhuli binafsi labda za uchawi.
Anajua jinsi watanzania wanavyomtazama anavyokandamiza hoja za kutetea mafukara kwa kutumia mwamvuli wa Chama Cha Majangili.
Hatari:
Weka Mbali na Tembo.
Lakini ana bahati mbaya sababu mwaka wake 40 ya ubunge ndiyo chama chake cha kilanguzi kinakwenda kuzikwa rasmi
amewafanyia nini wananchi wa jimbo lake kwa muda wote huo aliokaa madarakani?