Anne Makinda: Sitogombea tena ubunge 2015

Anne Makinda: Sitogombea tena ubunge 2015

MAUAJI YA RAIA NA HII SERIKALI YA KIKWETE WANANCHI TUNASEMA SASA TUMEFIKA MWISHO WA UVUMILIVU WETU WALA HATUTAKI KUSIKIA TEN!!!!!!!

Viongozi walioko madarakani pindi wanapotafsiriwa kuwasaliti wananchi 'tuliowachagua' hadi hapo wanafanya maisha kuwa ni hatari tupu hata kwa viongozi wastaafu ambao pen gine wao awamu zao walifanya kazi nzuri tu.

Kitendo cha viongozi wote hawa kunyamazi bila hatua zozote stahiki pindi polisi wanapoendelea na Mauaji ya Raia kila kona ya nchi, Umma wa Tanzania tumefika mahala tunasema SASA BASI HATUTAKI TENA KUSIKIA KITU WAZIRI PICHA HAPO MAMBO YA NDANI, MA-RPC MA-KADA WA CCM, MKUU WA MKOA WALA KITU GANI kutukaribia maana wameonyesha kuwa hawko kwa ajili yetu tena katika maisha haya!!!!!!!
KAMA VIONGOZI WETO WOTE WAMEAMUA KWA DHATI KUSALITI 'HAKI YA KUISHI NA USALAMA WA MALI ZETU' KIASI HIKI SASA SERIKALI YENYEWE INAKUA NA MAANA KWA VIONGOZI WENYEWE AU SISI WANANCHI WALIPA KODI???????

Kijana umeongea kwa uchungu wa hali ya juu sana na yote ulioyataja humu ni ROBO TU ya jinsi gani tunavyowaona zaidi ya asilimia 98 % ya mbegu ya viongozi tulionao hivi sasa katika nchi yetu.

Mpaka hapa hakika mjue ya kwamba pindi mnapoendelea hata kwa robo hatua kwa kutuambia eti mchote tena kodi zetu ziwe posho zaidi kwenu, eti maisha Tanzania hii sasa ni magumu tu kwa hawa viongozi wanaofilisi taifa letu ...,

... nasema tunapoendelea kusikia eti hata MAFISADI waliokubuhu nao bado wanaendelea kuonekana wakirandaranda mitaani kutaka wakatuongoze tena badala ya kujivua gamba ...,

... kwa uhakika pindi vijana wa taifa hili tunapoendelea kushuhudia eti wengine wakiagiza polisi watuue raia na kutubandika nembo za WAHUNI pindi tunapoandamana kudai HAKI YA KI-KATIBA NA JUKUMU NAMBA MOJA YA serikali kutulinda na mali zetu ...

Mpaka hapo wenzetu ni kama vile akili zinataka kuturuka vile, ni kama vile wengine tunatamani kwenda kuondoa kabisa uozo wa aina hii kwa mikono yetu bila kuendelea kuhesabu vifo zaidi nchini; mkoa baada ya mkoa. Rai Kikwete kwa uhakika, kachukuwe hatua za dharura KUKOMESHA hii hulka mpya ya DOLA kuwaua raia kinyama kiasi hiki.

Mpaka hapa ni kwamba tungependa ieleweke kwamba HATUTOPENDEZEWA kuona vifo zaidi ya raia hata mmoja wakati kodi zetu polisi na jeshi letu wakiendelea kulipwa kila mwezi.

Nasema kwamba wala haitusaidii kitu kuendelea kuwa na viongozi sanamu sawa na picha tu ukutani kwa jina la Vuai Nahodha, Saed Mwema, Mkuu wa Mkoa, Wilaya na RPC huko Ruvuma wakati raia tukiendelea kuchinjwa na waajiriwa wetu wenyewe kwa mtaji wa kodi zetu!!

a.
Wanaharakati mko wapi au mnasubiri tu kuja kuandika mi-ripoti ndefu mara baada ya familia kadhaa nchini kupoteza zaidi y nusu ya ukoo wao?

b.
UDASA huu ukimya wenu tafsiri yake ni kujiunga na mdhulumishi au tuwaelewe vipi?

c.
Tangnyika Law Society ndio tuseme mpaka O'Campo awe ametoa neno ndio mtiririko wote huu wa mauaji katika mkoa mmoja baada ya nyingine ipate kuwagusa?

d.
Akina Mama kwenye taasisi zenu zote kama vile UWT inamaana uchungu wa mtoto wa mke mwenzio wala haukuhusu kitu isipokua ni jukumu la Mama Nkya na Kijo Bisimba peke yao sio?

e.
Enyi wanafunzi wa vyo vikuu nchini mliopata kua VIWAKILISHI VYA SAUTI YA HAKI KATIKA JAMII, mnaona ni vema hadi afe mtu wa ngapi tangu Mauaji ya raia Mwembechai, Pemba, Arusha, Igunga, Musoma, Uyole-Mbeya, na sasa Songea, ndio mpate hata kuguna tu juu ya mwenendo wote huu wa mambo?

f.
Kamisheni na taasisi zote za haki za binadamu nchini, inamaana hata kukemea tu muaji haya yote ni mpaka kupatikane mfadhili kutoka nje ya nchi ndio akawape fedha ndio mpate kutekeleza majukumu yenu?

g.
Vyombo vya maamuzi ya Juu nchini kama vile NEC-CHADEMA, NEC-CCM, Baraza la Mawaziri na Taasisi ya Urais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, hivi kweli vikao vya dharura mtaweza kuviitisha tu pindi mambo ya kisiasa yanapowaendeeni vibaya kwa njia moja au nyingine na wala si kule KUTOLEWA ROHO Mtanzania mwenzetu??

h. Hivi kweli Tanzania tumefika mahala ambapo uhai wa raia ni sawa tu na uhai wa inzi na wala halichukuliwi kwa uzito wake kama ambavyo tumewahi kusikia enzi hizo Mzee Mwinyi alipokua Waziri wa Mambo ya Ndani?

i.
Wazee wetu tunaowaheshimu saaana katika taifa hili; Joseph Sinde Warioba, Salim Ahmed Salim, Benjamin Mkapa, Edwin Mtei, Bob Makani, Mufti Mkuu Sheikh Simba, Mwashamu Askofu Polycarp Pengo, Jenerali Ulimwengu, Rejnald Mengi, Mzee Bahresa ...

... je ukimya wenu wote huu wakati Dola ikiendelea kuua mkoa hadi mkoa ndio tuseme ni usaliti au usahihi wa msimamo wenu kutetea jukumu mama kikatiba kulinda uhai wa kila Mtanzania na mali zake au mpaka vurugu zije zitukumbe ndio mje kuanza kukatisha kushoto kulia.

Kamati ya kutumu ya Bunge kuhusu ulinzi na usalama, tunaomba maelezo kuhusu mauaji yote haya huku Rais Kikwete yeye akiendelea tu na safari zake za huko na kule kama vile hakuna cha ajabu kinachotokea ndani ya nchi yetu.

Kwa kweli kwa jinsi mambo yanavyoeneda hivi sasa na kwa usahihi ambao huyu Ndugu KweleaKwelea wa JF ameweza kubainisha kero za ndani kabisa wa kila kijana ndani ya nchi hii, napenda kusema kwamba NAUNGA MKONO karipio kali kwenye hotuba ya Mhe Dr Slaa, alioitoa hapo jana jijini Dar es Salaam, neno kwa neno na nukta kwa nukta bila ajizi!!
 
Mh. Spika wa bunge la Jamhuri ya Muungano amesema kuwa hato gombea ubunge chaguzi mkuu ujao. Amesema anataka kukopa pesa arudi kujenga nyumba.

Sorce: ITV, HABARI YA SAA MBILI

agombee asigombee hakuna nayemtaka, aishie zake huko mie naenda kugombea jimbo lake
 
nadhani amesoma alama za nyakati,na ameamua kutangaza nia yake ya kujivua gamba mapema,bora na aende,nena makinda,nenda mama,nenda mama,TUMEKUCHOKA!!!
 
hamkosi maneno na hamnaga shukrani, mlitaka asemeje? Kachukua uamuzi mzuri na wengine waige mfano mzuri kutoka kwake.

uko sawa kweli? watu hawalalamikii kuacha kwake, they are thankful for that! wanalalamikia kuwafanya watanzania wapumbavu kwa kudai hana nyumba, au wewe ndio umedanganyika umemkubali?
:yawn:
 
Mh. Spika wa bunge la Jamhuri ya Muungano amesema kuwa hato gombea ubunge chaguzi mkuu ujao. Amesema anataka kukopa pesa arudi kujenga nyumba.

Sorce: ITV, HABARI YA SAA MBILI
HII YA HAPA KIITONYAMA KAUZA? VIPI MAFAO YAKE HAYATOSHI KUJENGA NYUMBA AU ANATAKA KAHEKALU? (off mic pls hivi kaolewa??)
 
Daah, kwahiyo wananchi wa jimbomi kwake wasahau maswala ya maendeleo kutoka kwa huyu mama, ndo kesha waaga huyo, kalaghabao. Kama hakuwatoa kipindi chote hicho imakula kwenu. mama hopeless kabisa huyu. katisha tamaa watu kabisa
 
Hii mnaikumbuka wakuu au umeshasahau, naona mama anamalizia miaka yake miwili na nusu, sidhani kama anaangalia zaidi ya 2015.
 
Ubunge hauna maslahi, ni sehemu masikini ataka kufanya shughuli nyingine.

huyu ni jammbazi mzuri amefanya uhalifu sasa anaweka silaha chini na kuokoka mwambieni ahakikishe anafuta ushahidi wowote maana watz wana hasira naye sana kwa kuwakandamiza na kuleta umaskini
 
hongera sana kwa kuusoma mchezo umekuwa kama messi Makinda kwasababu no more ccm now is time for CHADEMA
 
Ni uamuzi wa busara sana. Amefika mahala ambapo si wengi wanafika. Ni mwanamke wa kwanza kuwa spika Tanzania, ameweka historia, umri nao umekwenda. Mimi nangoja mwaka wake wa mwisho nipeleke posa, atanifaa sana kumtazamia pesa atazokopa.

Nikichukuwa ngoma hiyo, itabidi niende kwa kuomba miongozo.

ha ha ha hahaaaaa hii nimeipenda hiiiii
 
Eti wanavuna umaskini--Hakika wabunge wote wanatuona tulio nje kuwa majuha, sawa na konda wa Daladala ukiingia ndani wewe umekuwa juha atasema na kufanya atakavyo. Hata hivyo kauli hii itunzwe maana hawakawii kubadilika na kusema nimeombwa na wananchi wa jimbo langu. Heri aende, kwani amepoteza sifa ya uwezo, akili na hata roho.
 
Nikiwa primary sch. miaka ya 1980, huyu mama tayari alishakuwa mbunge! Leo hii eti akakope pesa ya kujengea nyumba! Alikuwa wapi muda wote? Na hizo fedha za ubunge alikuwa anapeleka wapi?
kwa waganga wa kienyeji Ukinga, malawi, etc
 
Mh. Spika wa bunge la Jamhuri ya Muungano amesema kuwa hato gombea ubunge chaguzi mkuu ujao. Amesema anataka kukopa pesa arudi kujenga nyumba.

Sorce: ITV, HABARI YA SAA MBILI

2015 atakuwa ameshapinda kabisa na atakuwa amejikita sana kwenye kupaa na ungo.
 
HII YA HAPA KIITONYAMA KAUZA? VIPI MAFAO YAKE HAYATOSHI KUJENGA NYUMBA AU ANATAKA KAHEKALU? (off mic pls hivi kaolewa??)

Nani atamuoa gendaheka kama spika, amfanye nini? bado yuko single na anagawa k**¥**### kwa watoto wa kitaa...
 
Mh. Spika wa bunge la Jamhuri ya Muungano amesema kuwa hato gombea ubunge chaguzi mkuu ujao. Amesema anataka kukopa pesa arudi kujenga nyumba.

Sorce: ITV, HABARI YA SAA MBILI

Akope hela ya nini? Huyu anataka kutuchezea akili, haya mabilioni yalio ibiwa kwani hawagawani? Anavyo zima hoja za Zitto kwani anafanya bure? Wakina RA si ndio walimuweka pale kumkomoa 6! Na hao wakina RA na EL hawakumlipa kutetea maslahi ya mafisadi? Huyu haitaji mkopo, anatuandaa kisaikolojia kwa mambo makubwa atakofanya na pesa yake "atakayo kopa" bila kurudisha( KODI YA WANANCHI).
 
Mh. Spika wa bunge la Jamhuri ya Muungano amesema kuwa hato gombea ubunge chaguzi mkuu ujao. Amesema anataka kukopa pesa arudi kujenga nyumba.

Sorce: ITV, HABARI YA SAA MBILI


Nyumba keshajenga nyingi mno na wala hana haja ya kukopa kwa vile kachuma tangu nchi ilipopata uhuru, hajui uchungu wa kupanga chumba manzese wala mwananyamala wala wapi huyo. Nyingine si ikulu yake aliyowazibia barabara watanzania wengine majuzi tu na kuleta zogo kubwa nchini? Afterall,amesoma alama za nyakati ukutani na kuona hata akipeleka jina lake halina tija ataangukia pua tu, maana wabunge wengi watakuwa wa vyama vya upinzani na rais kutoka upinzani ambapo magamba hayatakuwa na nafasi ya kutosha bungeni. Ajitahidi kupigania uozo wa watawala wenzake sasa hivi na kuhakikisaha anapata kiwanja juu ya bahari wasije wakamwahi wenzie. Kama Sitta angekuwa Spika hadi sasa nchi hii ingenyooka kwa kwenda mbele. Ndicho mafisadi hawakutaka kitokee.
 
Hata asipogombea hana jipya.iaka 40 byote amefanya cha maana kipi huko njombe. Si anyamaze kimya jamani
 
Mwanasiasa maarufu na kada wa CCM, ambaye pia ni speaker wa Bunge la Tanzania mama Anna Makinda ameamua kuhachana na siasa 2015. Amechoka na majungu ndani ya Chama. Sitagombea ubunge 2015. Nina shuguli zangu binafsi..... Hayo ni maneno ya mama Makinda leo jioni akiwa na baadhi ya marafiki zake
 
Back
Top Bottom