Anne Kilango Malechela lazima ang'olewe

Anne Kilango Malechela lazima ang'olewe

Jamani huu mwaka wa uchaguzi CCM. Alikuwa anapiga kampeni za uchaguzi CCM kwa kujipambanua kuwa yeye ni kada mzuri hasa katika kutetea madudu ya CCM. Naona mabadiliko ya katiba yao yanayowaondoa wabunge kugombea mpaka wapate vibali yatamfanya ajifikirie tena. Yule mama ni mchumia tumbo, bunge lililopita alikuwa anakomalia sana serikali kwa sababu yeye alitaka kuwa first lady, alipokosa akataka walau ateuliwe kuwa waziri alipokosa akaona bora amwage mboga. Si katika kundi lile lile la hypocrites maana nikisema kwa kiswahili nahofia watetezi wake humu JF kutoka povu bila sababu.

Heshima kwako MKUU WANGU!

Hapo kwenye red umenimaliza kabisa. Eti alitaka eteuliwe kuwa waziri? Nadhani hamumjui huyu maza jamani!!! Ki ukweli ni kilaza wa kutupwa kabisa. Kumbukeni hata hiyo digrii ya Chuo Kikuu huria kaipata kea sababu Mzee ndiyo mnene pale. Nadhani hata huyo Rais angemteua kuwa waziri ninge mshangaa sana. Kwanza nilisha waeleza hapa jukwaani kwamba, mimi tunatoka kijiji kimoja nae cha Kuhurio Usambara. Aliachwa na mumewe wa kwanza wa hapa Kihurio sababu ya u-mama poa. Kakimbilia Arusha na kupiga kambi za jioni (natumai mnanielewa) pale Equator hotel.

Huyu mama jimbo lake limechoka ile mbaya. Mawasiliano ya barabara ndani ya jimbo hili ni ya shida kupindukia. Nadhani Waathu hapa tumeliwa maana hakuna kitu kabisa. Wapare wamegeuka kuwa masikini wasikini wa kutupwa. Mkuu, ukipita maeneo yetu utatuhurumia. Tumechoka mbaya mkuu.

Kwenye ile hoja yake ya kuwaingiza wakuu wa Wilaya, kila mmoja wetu hapa kijijini tuli mshangaa ile mbaya. Naamini yete ilikuwa katika kujipendekeza ingawa hakujua alicho kuwa anakitetea. Sana sana ni ili mradi aonekane kachangia hoja.

Tunajuwa anacho winda kwa mzee wa Idodomi ni kaurithi ka mzee. Huku kwetu anajua safari hii tunampika chini iwe ni kwenye CCM au hata kupitia upinzani.
 
Kwa kweli huyu mama ni kero tupu. Sijui kama mtu anayetetea wakereketwa wa chama fulani wasimaie mchakato wa katiba mpya anazo zote kichwani!
 
anajua bila wakuu wa wilaya habari yake imeisha naunga hoja
 
huyu mama kashindwa kujenga barabara la lami kutoka mkomazi hadi same . na ndio barabara moja tu ambayo ipo jimboni mwake.. sijui hata anafanya nini bungeni
 
CCM ni sawa na mavi ya mlevi wa gongo....huwezi kuwa mwanaCCM alafu uwe na akili timamu
 
Sikutaka kuchangia leo, lakini kwa kero za huyu bibie naona niseme kidogo. (Hafai huyu mama kupita kiasi, yaani hafai kutafunia wala kurumangila) Wakuu wa wilaya ndo nini katika wilaya iliyojaa wabunge na madiwani? Mkuu wa wilaya asipokuwepo hata mwaka mzima kazi zinafanyika tu. (aking'olewa tutapumzika)
 
Huyu Kirago wa Masela ni mainzi tu, nakumbuka alipovua viatu akiikomalia katiba mbovu ya magamba tunasikia anajipitisha meru kushawishi wamama wa kimeru kuipa magamba kura, na aje tutamkunja
 
Embu we mama pitia hapa uone alafu ujirekebishe.
 
Wachumia tumbo wa ccm, masikio yao yameziba! Kukusikia itakuwa ngumu!
 
Anadhalilisha wamama wa nguv walioko nafasi za juu !ye anakuwa kama mama muuza chang'aa bhana makelele kama chizi mimate inamtooka
!!!

Wapare bhana aghrrr
ukiwachunguza wengi wana viherehere na wanaongea kuliko cherehani

chunga mdomo wako nawe...
 
haitasaidia kitu kuwatetea wakuu wa wilaya wakileta ujinga wanashughulikiwa vilevile kama FATUMA KIMARIO WA IGUNGA.wakuu wa wilaya wasifurahie wakajua ni dili wamepata,nawaonea huruma sana,huyo nae sikama bi kiroboto tu kwani anapayuko domo kama sufuria na kuwajazia wenzia mvua za kinywani.asijishaue na kwenda arumeru atas...*******************wa.
 
Kwa kweli nilikuwa namheshimu sana huyu mama!lkn kwa ile ishu ya ma DC amenimaliza nguvu kabisa.mbaya zaidi anajaribu kujionyesha chuki ya wazi kwa upinzan hususan CDM! Amelewa sifa alizopata zama za richmond!hana nia njema na watanzania wala wapiga kura wake.kifupi hajui kusoma alama za nyakati
 
its just another unafiki wa wanasiasa wa maggamba
 
Back
Top Bottom