MPAMBANAJI.COM
JF-Expert Member
- Mar 2, 2011
- 712
- 332
Yuko kimya Mwanae William alishidwa Ubunge pamoja na Campaign ya hali ya Juu, Usiku na Mchana bila kulala
:smile:SIO YEYE TU ILE KAMBI YA KUPINGA UFISADI YA WAKINA OLE SENDEKA NA LEMBELI Mbona hatuwaoni au hawa sio mafisadi
Huu mjadala kwa huyu mama asingeweza elimu ya kuyachambua mambo hawezi zaidi ya mayowe.
huyu mama kaiba pesa ya kujengea kiwanda cha Tangawizi