Anne Kilango awavaa CHADEMA...

Hapo penye nyekundu panahusika, Je mmekosea kuandika jina? ulitaka kumwandika JK au JM.
Maana nahisi kama mtu anampigania Mr. wake vile, kama sio kweli amewashwa nini?.
Mh. Anaanza kuwa msemaji wa JK, au anamtega!
Anashindwa kusemea matatizo ya jimbo lake yaliyotajwa na Saint Ivuga
!

Hivi bado kuna Mkoa haujapata mkuu wake nini?.

Kama bado upo jibu liko wazi.
 
Siku zote ukiona mtu yupo majini anaogelea kimya baadeae akaanza kupiga kelele ujue maji yamemzidi na anakaribia kuzama.Ndio yanayomkuta mama william,anapiga kelele kwani tumesha mbana na hakuna wa kuja kumsaidia kwani kila mccm sasahiv anakufa kivyake.
 
 

Kati ya Wabunge weupe huyu mama ni mmoja wao. Huwa ni mpiga kelele na mropokaji asiyeeleweka anachokisimamia. Kwa muda mrefu amekuwa akiwaghilibu watu kuwa ni mpambanaji wa ufisadi lakini si kweli.

Alinikera kwenye mjadala bungeni wa kujadili muswada wa sheria ya mabadiliko ya Katiba. Wakati wabunge wazalendo wakiongozwa na Tundu Lisu wakitaka Wakuu wa Wilaya wasihusike katika usimamizi wa zoezi la ukusanyaji maoni kutokana na wao kuwa makada wa CCM na badala yake watumike Wakurugenzi wa Wilaya (DEOs) yeye alikuwa against. Mwisho wa siku Wabunge wazalendo walishindwa Wakuu wa Wilaya (ambao almost wote ni makada wa CCM) ndiyo kwa kushirikiana na na Wakurugenzi watasimamia midahalo, uratibu wa zoezi la kukusanya maoni na hata kutoa vibali vya asasi za kiraia zitakazotaka kuendesha makongamano/kutoa elimu kuhusu katiba. Kwa mbunge makini na mzalendo wa kweli hawezi kutetea hili.

Ni aina ya wabunge wasiokuwa na tija kwa wananchi. Mara nyingi hujifanya mwenye machungu na kutoa vilio bungeni kitumbua chake cha ubunge kinapotishiwa. Si mtu wa maslahi ya umma bali mnafiki fulani tu.
 
Huyu mama sasa anaonyesha rangi yake halisi. Hana lolote. Alijifanya mpinga ufisadi lakini sasa ni dhahiri mafisadi wamemuweka sawa anaweweseka asijue la kufanya. Shame on her!
 
Hiyo source ndio tatizo kubwa hapa.....kuliko huyo bi. Malecela.

Ajiandae kupumzika kama mzee Malecela, next election she's definately out. Asipogombea ndio heshima kwake, mwelezeni.
 
Huyu mama anaenda kwenye misiba kule upareni na kujikusanya na wamama wa kule na kuanza kulia nao ...huu ni ujinga ataliaa wee hapo na ujanja wake ni kupata huruma zao ila wameshamshtukia ...na ndio maana anajishtukia sasa hivi ..abaki zake huko huko mtera
hatuongelei mate picha zipo

 
 
hivi ni yule aliyeoa mzee ili arithi mali?

Ndio huyo anaewakorofisha watoto wa Malecela kwa mkewe marehemu ili arithi mali za mzee kwa ushirika na huyu mtoto wa Malecela wa nje ya ndoa aitwae La Baharia!! Lakini wale mabinti wa yule mama wa kinyakyusa ni wasomi hawababaiki!!
 
Hivi huy bi-mkubwa lile danguro lake alilifunga au bado anaendelea kukamua?
 
 
 
 
 

hujakosea hizo sifuri kweli mbona ni faranga nyingi hizo. au JPatel alikuwa anatega kwa kuamini Samweli angetwaa nchi hii?
 
Mkuu William, ulijuaje kama ametumwa na sio mawazo yake!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…