Anne Kilango ataka mawaziri wachaguliwe na wananchi

- Masilahi ya taifa mkuu, kama unataka kujadili members wengine kuna mahali kule chini, hapa ni masilahi ya taifa. Kuna mtu aliniambia kwamba wewe na Kada Mpinzani na Insurgent ni majirani that is all sasa kama sio majirani zako tatizo liko wapi?

Respect.

FMEs!
Kwa kuwa siwafahamu wanaweza kuwa majirani zangu. Sijawahi kumjadili member yeyote humu zaidi ya wale wanaojitambulisha kwa majina yao halisi ambao wengi wao ni viongozi wetu. Huyo mtu aliyekuambia Kada na Insurgent ni majirani zangu ipo siku atakwambia mimi ni "shemeji" yako.
 
- Siwezi kuwa na beef na a fool ambaye wala hatuna anything in common, wala hatufanani, simjui ila ni yeye ndiye siku zote anayehangaika kunifuata fuata, umri hatufanani the man is too old for me, nilipokuwa majuu amenikuta masikini ya Mungu huruma tupu, sasa leo nashangaa eti akitaka kuwa ligi moja na mimi pole san mkuu, I m too much for you, kama ni ufisadi unajua vizuri kwamba wewe ndiye umetoka kwenye ufisadi, tabia zako katika jamii ni za kifisadi, no body likes you kwa sababu ya tabia zako za kijinga jinga, wewe unirekebishe mimi? that is biggest joke I ever heard anza na wewe, rudisha zile hela zza wananchi uliowadnagnya na chama uchwara cha kabila lako, acha kulilia kina mama wanaokuzidi umri, then njoo unirekebishe!

- Psychiatrist? Mimi au wewe? kwenye hilo wala sina tatizo mkuu maana inafahamika wazi kwamba una matatizo makubwa sana, kumbuka ile siku ya party umetukana wee hapa JF, halafu ukabeba mek wako na watoto kuja kwenye party hiyo hiyo, watu wote walishangazwa infact toka pale ndio ukaacha kabisa kutumia yale majina yako mawili, kutokana na aibu ya ile siku, halafu kumbuka ile siku jinsi Rais wa jamhuri alivyokutukana mbele ya hadhara, sasa mkuu eti mimi na wewe nani anayehitaji msaada wa akili? Bwa! ha! ha! ha!

- Afraid of a shadow? Mtumzima miaka 62, IDs karibu 1000, halafu eti hukimbii your shadow, sasa unakimbia nini? Kwa nini uliacha kutumia zile ID za Kuhani/Dilunga kama hukimbii kivuli chako? Baaada ya kuaibika mbele ya jamii ndio ukaikimbia kivuli chako, halafu una ubavu kusingizia wengine pole sana kaka, usingiie mjini kwa pupa mkuu, unajua katika historia ya hiyo jamii wewe ndiye mtu wa kwanza kutukanwa na Rais? Aibu sana!


- Mkuu again I am seamen, kama unajua anything else nimekupa nafasi mara nyingi sana hapa useme, nimekupa nafasi mara nyingi sana useme ufisadi wangu, nimekuambua nina mali zangu na niko njiani kuingia kwenye uongozi kwa sababu as raia wa Tanzania ni haki yangu,

- Ni kweli, nimesema hivi wewe ulifeli Form six ukashindwa kwenda Mlimani sasa kwa sababu baba yako mdogo alikuwa na nafasi kubwa kidogo jeshini, akaenda CCM kuomba nafasi ya kukupeleka kusoma Russia, hicho kitu kilikuwa kinafanywa na viongozi wengi wa vyeo vya chini katika serikali ya CCM zamani, nafasi za kusoma Russia, China, Cuba zilikua zinakuja kupitia CCM, ndio ukaacha kazi BOT ukaenda Russia, as opposed na mimi ambaye nilikwenda mwenye kupanda meli bila kupelekwa na yoyote, niliposhuka melini nikaenda Europe, Canada, baadaye nikatua US, wewe NY ulienda kwa ndege ukapokewa Airport na ndugu zako,

- Mimi nilikwenda NY kwa basi through maboda nikitokea Ottawa na Montreal, nikafika Port Authority NYC simjui mtu, nikalala pale kama homeless, mambo yangu yote yakaanzia hapo mapka kujisomesha Degree mbili mwenyewe, sasa wewe mtoto mdogo wa maisha utaniambia nini wewe? Ndio maana ninakuambia kuwa mimi sio size yako, I m too much for you wewe ndiye mtoto wa fisadi, maisha yako yote ni ufisadi ufisadi, kudhulumu dhulumu watu, mimi sina hizo tabia mkuu.

- Please usinipotezee muda, kama huna hoja on the topic!


es!

Writing in Large Bolded Letters does not add anything to your wittings.we can read just fine.literary,it means you are shouting!not very polite.

as i pointed out earlier, every time you get provoked you open this Pandora BOX of this 62 year old chap you have locked horns with and your past.

No one is interested to know where you are or how you got there,we are here to talk about issues relate to our country.if i wanted to read about survival stories i could log into Barnes & Noble and find the right books to read,not your below average barrages.

there are members who tried to give you some help regarding your attitude,if you havent named them a 1000 ID guy,you can just take their advices,it's not a war here,your views can find criticism from others,you don;t need to flame the forums with personal attacks on people no one is interested with.

i know you will reply to this with a 1000 essay full of how you got to the US...,blah blah blah..,yada yada yada..,
 
- Siwezi kuwa na beef na a fool ambaye wala hatuna anything in common, wala hatufanani, simjui ila ni yeye ndiye siku zote anayehangaika kunifuata fuata, umri hatufanani the man is too old for me, nilipokuwa majuu amenikuta masikini ya Mungu huruma tupu, sasa leo nashangaa eti akitaka kuwa ligi moja na mimi pole san mkuu, I m too much for you, kama ni ufisadi unajua vizuri kwamba wewe ndiye umetoka kwenye ufisadi, tabia zako katika jamii ni za kifisadi, no body likes you kwa sababu ya tabia zako za kijinga jinga, wewe unirekebishe mimi? that is biggest joke I ever heard anza na wewe, rudisha zile hela zza wananchi uliowadnagnya na chama uchwara cha kabila lako, acha kulilia kina mama wanaokuzidi umri, then njoo unirekebishe!
es!

Simjui huyu 62 year old fella,BUT he is way better than you,hajajaza thread za JF kukuongelea wewe,wewe kila siku ni kumuongelea yeye tu!na ni jinsi gani wewe ni baharia umeenda US kwa ubaharia wako,yada,yada,yada..,baharia my Foot!

kama huna kitu chochote nae in -common kwa nini unapoteza nafasi za JF kumjadili huyp mtu?kwa nini watu wanapokukosoa wewe unaweweseka na Taaarifa zake?

so far u have flooded multiple forums with your+his informations,kuna mtu amewahi kukuomba hizo taarifa?kuna mtu amewahi kukuuliza umefikaje US?
 
Simjui huyu 62 year old fella,BUT he is way better than you,hajajaza thread za JF kukuongelea wewe,wewe kila siku ni kumuongelea yeye tu!na ni jinsi gani wewe ni baharia umeenda US kwa ubaharia wako,yada,yada,yada..,baharia my Foot!

kama huna kitu chochote nae in -common kwa nini unapoteza nafasi za JF kumjadili huyp mtu?kwa nini watu wanapokukosoa wewe unaweweseka na Taaarifa zake?

so far u have flooded multiple forums with your+his informations,kuna mtu amewahi kukuomba hizo taarifa?kuna mtu amewahi kukuuliza umefikaje US?

achana nae huyo... si kosa lake!!! He is paranoid and he cant take no advice from anyone... sadly he refers to wrong people every time!!! He needs medical attention because those hallucinations may lead t fatal outcome hasa kwa watu wa karibu yake... he thinks that he has everything, the jack of all trades!!!
 
achana nae huyo... si kosa lake!!! He is paranoid and he cant take no advice from anyone... sadly he refers to wrong people every time!!! He needs medical attention because those hallucinations may lead t fatal outcome hasa kwa watu wa karibu yake... he thinks that he has everything, the jack of all trades!!!

Sure,huyu jamaa sio mzima!very paranoid,deeply disturbed.

so far list ya members anaoweweseka na ID 1000 issue.
-kuhani
-de novo
-wacha1
-kimweri
-kubwajinga
-wildcard
-BongoTZ
-Drifter

kwa wanaotaka kuwekwa kwenye List hii ni kazi rahisi tu!pingana na huyu jamaa FMES.soon utakuwa mtoto wa mboma,utakuwa 62 years old..,huyu jamaa anafikiria wote humu JF ni kindergarten?!

sometimes tunamuachia apate free pass-ila yeye ukipingana nae kihoja tu tatizo.
 
Mwacheni ajijibu mwenyewe ni wakumuonea huruma tu masikini ya rabi.
 
Sure,huyu jamaa sio mzima!very paranoid,deeply disturbed.

so far list ya members anaoweweseka na ID 1000 issue.
-kuhani
-de novo
-wacha1
-kimweri
-kubwajinga
-wildcard
-BongoTZ
-Drifter

kwa wanaotaka kuwekwa kwenye List hii ni kazi rahisi tu!pingana na huyu jamaa FMES.soon utakuwa mtoto wa mboma,utakuwa 62 years old..,huyu jamaa anafikiria wote humu JF ni kindergarten?!

sometimes tunamuachia apate free pass-ila yeye ukipingana nae kihoja tu tatizo.

Mkuu sanasana ni wa kumuonea huruma, in most cases watu wa namna hii huishia kuwa imbecile!
 
Kwa kuwa siwafahamu wanaweza kuwa majirani zangu. Sijawahi kumjadili member yeyote humu zaidi ya wale wanaojitambulisha kwa majina yao halisi ambao wengi wao ni viongozi wetu. Huyo mtu aliyekuambia Kada na Insurgent ni majirani zangu ipo siku atakwambia mimi ni "shemeji" yako.

- Angalia isije ikawa the opposite, yaani wewe kugeuzwa na kuwa ndiye shemeji mwenyewe, Bwa! ha! ha! ha!

Es!
 
Writing in Large Bolded Letters does not add anything to your wittings.we can read just fine.literary,it means you are shouting!not very polite.

as i pointed out earlier, every time you get provoked you open this Pandora BOX of this 62 year old chap you have locked horns with and your past.

No one is interested to know where you are or how you got there,we are here to talk about issues relate to our country.if i wanted to read about survival stories i could log into Barnes & Noble and find the right books to read,not your below average barrages.

there are members who tried to give you some help regarding your attitude,if you havent named them a 1000 ID guy,you can just take their advices,it's not a war here,your views can find criticism from others,you don;t need to flame the forums with personal attacks on people no one is interested with.

i know you will reply to this with a 1000 essay full of how you got to the US...,blah blah blah..,yada yada yada..,

- Hillarious, Bwa! ha! ha! ha!

es!
 
Simjui huyu 62 year old fella,BUT he is way better than you,hajajaza thread za JF kukuongelea wewe,wewe kila siku ni kumuongelea yeye tu!na ni jinsi gani wewe ni baharia umeenda US kwa ubaharia wako,yada,yada,yada..,baharia my Foot!

kama huna kitu chochote nae in -common kwa nini unapoteza nafasi za JF kumjadili huyp mtu?kwa nini watu wanapokukosoa wewe unaweweseka na Taaarifa zake?

so far u have flooded multiple forums with your+his informations,kuna mtu amewahi kukuomba hizo taarifa?kuna mtu amewahi kukuuliza umefikaje US?

- Hapana ninakujibu pumba zako kwamba mimi ni mtoto wa fisadi, ukweli ni kwamba hayo ya ufisadi yanakuhusu wewe mwenyewe, au? Otherwise ni hillarious Bwa! ha! ha! ha! ha! 62 years old na PhD, inachekesha sana Bwa! ha! ha!


es!
 
achana nae huyo... si kosa lake!!! He is paranoid and he cant take no advice from anyone... sadly he refers to wrong people every time!!! He needs medical attention because those hallucinations may lead t fatal outcome hasa kwa watu wa karibu yake... he thinks that he has everything, the jack of all trades!!!

- Bwa! ha! unazidi kujivua nguo kumbe ndio matatizo uliyonayo haya duh! pole sana mkuu no wonder hueleweki, Bwa! ha! ha! ha! ha!

es!
 
Sure,huyu jamaa sio mzima!very paranoid,deeply disturbed.

so far list ya members anaoweweseka na ID 1000 issue.
-kuhani
-de novo
-wacha1
-kimweri
-kubwajinga
-wildcard
-BongoTZ
-Drifter

kwa wanaotaka kuwekwa kwenye List hii ni kazi rahisi tu!pingana na huyu jamaa FMES.soon utakuwa mtoto wa mboma,utakuwa 62 years old..,huyu jamaa anafikiria wote humu JF ni kindergarten?!

sometimes tunamuachia apate free pass-ila yeye ukipingana nae kihoja tu tatizo.

- Acha zuga hiyo wewe sio Wild Crad, acha utoto hakuna mwenye akili ya kitoto kama yako hapa, nasema hivi Wild Card sio ID yako, halafu tizama linavyojisema lenyewe 62 years old na PhD, what a joker!

es!
 
FMES,
Umefanikiwa angalau kwa muda kuivuruga mada hii. ID za wachangiaji wengine humu zinakuhusu nini? Unayo lugha nyingine zaidi ya hii ya kibahariabaharia?
 
Ni muda muafaka wizara zikawepo KIKATIBA ili kutomwachia Rais wetu mwanya kuunda baraza kubwa la mawaziri ambalo linakuwa mzigo kwa Taifa letu masikini na tija haionekani.
Raisi mwenye wapambe/washirika/wafadhili/marafiki wengi anapata taabu kuunda baraza hili kama ilivyomtokea JK.

Hili ni wazo zuri sana Mkuu. Tukiwa na Idadi ya Wizara kikatiba itaondosha ujomba ushemeji na kutaka kulipa fadhila kwa jasho la wananchi.

Nakubaliana na wazo la Rais kupendekeza mawaziri na wabunge kuwapigia kura kwa kujadili uadilifu wake kama raia (mfano rushwa, maadili,uadilifu na kwa jumla historia inayojulikana juu ya maisha yake), ingawaje kwa petu hakutakuwa na tofauti yoyote na kuteuliwa na raisi moja kwa moja kwani kuna uwezekano wa +90% wabunge wa chama kinachotawa kuwapigia kura wenzao, hata kama yataanikwa maovu ya mtu huyo
 
huyu mama bana kapauka kimawazo...mambo haya alikuwa wapi kusema bana ...wasitupotezee concentration bana
 


Defiant Gaddafi vows to fight on

In televised speech, Libyan leader blames youths inspired by regional events for uprising and vows to die a 'martyr'. ( 23-Feb-2011 )

SWALI HUMU: UTAMADUNI WA KURITHISHA WATOTO WA WAKUBWA
UKUBWA TANZANIA CHANZO CHAKE NI WAPI???


Nani anayejua hasa darasa la huyu King of Kings?

Kwa mtaji wa hutuba aliyoitao hivi majuzi ni mara mia angjinyamazia tu hivyo tungeendelea kumfikiria mstaarabu fulani hivi. Kwa kujiunga kwake jeshini akiwa na umri wa miaka 12 (child soldier) wala hatuhitaji kuuliza kama 'ALIONEWA SANA YEYE', 'AKADHALILISHWA SANA GADDAFI' hivyo kuja kupata kamwanya wa kuongoza nchi kwa mtindo wake mwenyewe hivi sasa anarudishia ngumi kwa jamii nzima ya Libya.

Tujifunze kitu basi na sisi hapa kwamba wale tuliowahi kuwaondoa kwenye nyadhifa fulani hapa nyumbani kufuatia kashfa iliyogoma kwisha katikati yetu hadi leo, nao wakija tu kupata urais wa nchi hii mtindo wao wenyewe na tusifikirie matendo yao kutofautiana sana na ya huyu nduli hapa.

Hakika shule iliomuingia mtu na kutulia ndani mwake ni muhimu zaidi tena sana kuliko shule ya kupitia hata kama madarasa yako ni mengi kimahesabu vidoleni.

Kanali Gaddafi ajikaanga kwa ulimi wake mwenyewe. Na watoto wake , masikini ya Mungu, ndio kabisaa wanaamini taifa zima la Libya ni kama shamba binafsi la ukoo kwa baba yao.

Nikitazama ya Ben Ali wa Tunisia, nikamgeukia Hosni Mubarak wa Misri na kumtaza mzee huyu ambaye kimawazo ni 'chipukizi' tu, na mwenendo mzima wa ushiriki wa familia zao katika mambo ya utawala wa nchi, Wa-Tanzania wenzangu NAPATA MAJIBU KUBWA SANA HAPA HAPA NYUMBANI kwamba ni kwa nini kati ya marais wetu wote wanne ni wawili tu kati yao ambao waonekana kupenda saana KUWARITHISHA UKUBWA WA TAIFA HILI kimtindo!!

Endapo Hussein Mwinyi hatojiuzulu ya Gongolamboto kwa kiburi tu kama ya watoto wa marais niliotangulia kuwataja kaskazini mwa bara hili basi huenda hata UKUBWA WA ZANZIBAR unaotazamiwa kwake ukagoma lakini ya Muungano ndio kabisaaaa wa kusikia tu redioni.

Je, inamaana wazee wengine akina Salim Ahmed Salim, Sinde Warioba, Mwalimu Nyerere, Phili Mangula, Joseph Rwegasira, Salmin Amour, Seif Shariff Hamad, Duni Haji Duni, Bibi Titi, Mama Mongela, Edith Mnuo, Dr Slaa, Prof Mwandosya, Prof Baregu, Mzee Kisumo, Edwin Mtei, Kambona, na wengine wengi tu ... wao hawana watoto wa kuwea nao kutamani kuwarithisha UKUBWA???

Mfano mzuri hebu angalia anavyoshiriki kuifanyi udalali nchi ya January Makamba, kijana mdogo mwenetu, ambaye angelihitaji kwa wivu zaidi ustawi mzuri wa Tanania. Katika hili tayari Vijana wa Tanzania TUMEWASOMA MCHEZO MZIMA na majibu tunayo!!!
 
Back
Top Bottom