Kwa kuwa siwafahamu wanaweza kuwa majirani zangu. Sijawahi kumjadili member yeyote humu zaidi ya wale wanaojitambulisha kwa majina yao halisi ambao wengi wao ni viongozi wetu. Huyo mtu aliyekuambia Kada na Insurgent ni majirani zangu ipo siku atakwambia mimi ni "shemeji" yako.- Masilahi ya taifa mkuu, kama unataka kujadili members wengine kuna mahali kule chini, hapa ni masilahi ya taifa. Kuna mtu aliniambia kwamba wewe na Kada Mpinzani na Insurgent ni majirani that is all sasa kama sio majirani zako tatizo liko wapi?
Respect.
FMEs!