Mbogela
JF-Expert Member
- Jan 28, 2008
- 1,384
- 257
Mkuu Sikonge,
Hapa UK kama uko NHS hakuna grades, huyo aliyekuambia labda alikuwa anaongelea kitu kingine.
Mtu asikudanganye kama wewe ni maskini UK ni best kwa huduma ya afya, hakuna cha insurance au nini, kila mtu ana haki ya kutibiwa. Hata USA wanatuonea wivu kwa hilo.
Operation kama yake hiyo ilitakiwa hata atoke hapo hapo kama tungekuwa tunafanya investment kubwa kwenye huduma za afya. Wanasiasa wa Tanzania ni wajinga mno, kuanzia CCM mpaka upinzani.
Mkuu hilo ndio swala ambalo wengi wetu hawajui bado. UK wanatumia system inaitwa public health system, yaani huduma ya afya inalipwa na serikali na western/continental Europe kama Uholanzi na nyingine wanatumia mfumo wa private wenye insurance, na serikali inasimamia ubora na tija ya huduma, lakini wamekubaliana kuwa kila mtu ana haki ya kupata huduma, alafu mashirika ya BIMA yanashindana kwa kutoa huduma Bora kwa pesa kidogo sana. USA ingawa wanahuduama nzuri ukilinganisha na mataifa mengi lakini wapo Nyuma sana ukilinganisha na nchi nyingi za ulaya. Kwa hiyo tanzania inatakiwa kufuata mfumo wa Ulaya au CUBA