Anna Muhimili agoma kuingiliwa kinyume na maumbile

Anna Muhimili agoma kuingiliwa kinyume na maumbile

Status
Not open for further replies.
View attachment 117653
Anna Muhimili wa kitongoji cha Makuru kijiji cha Manchali B, Dodoma, Tunamuona ni Mwanamke JASIRI . Amevunja ukimya baada ya kukataa kufanyiwa ukatili wa kingono na mwanaume wake aliyemuomba ''makalio'' maarufu kama kufanya ngono kinyume na maumbile... Wanawake tupoooo? Na Wanaume muache hizo tabia..

This is a private business. Haituhusu.

 
View attachment 117653
Anna Muhimili wa kitongoji cha Makuru kijiji cha Manchali B, Dodoma, Tunamuona ni Mwanamke JASIRI . Amevunja ukimya baada ya kukataa kufanyiwa ukatili wa kingono na mwanaume wake aliyemuomba ''makalio'' maarufu kama kufanya ngono kinyume na maumbile... Wanawake tupoooo? Na Wanaume muache hizo tabia..
Mama nakuheshimu sana, you should spoke with both parties are involved and put each side of story, rather than one side. If you go deep, it appears "you like tigo story and you are advertising it, indirectly. Shame on you
 
Kwa kweli hapo Joyce umechemka,isipokuwa labda huyo muathirika ametoa ridhaa ya kutajwa

Hata kama huyo mama angeridhia kutajwa jina lake, vipi kuhusu huyo mume wake ambaye naamini hivi sasa anasumbuliwa sana, anachekwa, ananyooshewa vidole, pengine hata jamii inamnyanyapaa, pasipo yeye kupata nafasi kujitetea.Tayari amekwisha hukumiwa na anatumikia adhabu kisaikoloji.Ilhali hatujui na naamini hata Joice Mwenyewe hana hakika na kilichojiri wakati wawili hao wakiwa sirini
 
Mama nakuheshimu sana, you should spoke with both parties are involved and put each side of story, rather than one side. If you go deep, it appears "you like tigo story and you are advertising it, indirectly. Shame on you

Hajui english!
 
Kucheza TANGO kunataka watu wawili. Kuna kesi nyingi sana ambazo ni WANAUME wamefundishwa huu mchezo na Wanawake. Nilishakuwa na rafiki yangu mmoja ambaye alikiri kuwa ni Binti wa Kiarabu alimfundisha kwa sababu tu ya Mila na Utamaduni wa Waarabu kuwa siku ya NDOA ni lazima awe BIKIRA.

Kutokuwa Bikira huwa ni aibu sana kwa familia na hasa kama ni ndoa ya Mtu na Binamu yake. Kama kweli Mdada analazimishwa na yeye hataki, basi heri afungashe masufuria na kutokomea kwani huyu bwana kwa sasa ameshakuwa MLEVI wa huo Mchezo na atafanya juu chini hadi atimize malengo yake. Bahati zenu nyie Wanawake kwa sababu ukilazimishwa ni rahisi kusema hapana ila sisi Wanaume, ukishalazimishwa, itakuwa ngumu sana kusema hapana. Na ndiyo maana si rahisi kusema "Mwanaume kabakwa" hata kama ni Katoto. Ila ukweli ni kuwa wapo pia Wanawake Wabakaji ambao hata hivyo kwa nchi nyingi, hata vifungo vyao ni vidogo sana.

Kwa kiasi kikubwa, ukuaji wa technology na hasa hii mitandao ya film za ngono, blogs za ngono kama Ze Utamu, Tv Chanels za ngono, DVD/CD za ngono nk zimepelekea kwa haraka sana kukua kwa huu mchezo. Wachezaji wanajua kuwa ukifanya hivyo inakuwa kivutio zaidi na hivyo kila mtu sasa anafanya. Ni sawa na Wanaume ambao hufanya Operations ili kukuza maumbile yao na hapo wanajiita wana "Weapons of A** Destruction" na kweli wanakuwa wana maumbile yasiyo ya kawaida. Na akina dada nao wanajijaza Ma-Silcons kwenye makalio na matiti. Hii yote ili kuifanya film iwe special. Bahati mbaya sana Wanaume kwa Wanawake hutaka na wao kwenda nyumbani kujaribu au kufanya kama hap IDOL wao wanavyofanya kwenye hizo film.

Nilishaona Kabinti kadogo na hata Makalio hakana makubwa ila nakenyewe kanacheza TWERK. Hii biashara ya Makalio kwa kweli inakuwa kubwa kila siku na Mashoga wanaitangaza kwa bidii kweli kweli kwani ndiyo na wao wanaona hapo ndipo lipo soko lao. Simba akizidiwa hata Manyasi atakula, sasa akikosa Mwanamke, kwa nini asimvamie hata Dume mwenzake?

Waone hawa Madume ambao huhitaji sana kufahamu kama SI Wanawake wanavyo-Twerk na nguo zao za ndani za Pink:

Check: chris brown ft ester dean drop it low - YouTube
 
View attachment 117653
Anna Muhimili wa kitongoji cha Makuru kijiji cha Manchali B, Dodoma, Tunamuona ni Mwanamke JASIRI . Amevunja ukimya baada ya kukataa kufanyiwa ukatili wa kingono na mwanaume wake aliyemuomba ''makalio'' maarufu kama kufanya ngono kinyume na maumbile... Wanawake tupoooo? Na Wanaume muache hizo tabia..

Can u prove hayo maneno yako?
 
Hii post inanikumbusha enzi za Sodoma na Gomora maana naskia Mungu alikataza kabisa hiyo biashara lakini watu kama wewe wakawa ndio mawakala wakuu wa hiyo biashara ya ngono kinyume na maumbile

Hhahaa, Tatizo la Watanzania ni kujifanya wema sana na wako smart wakati hakuna lolote, katika amri za mungu hakuna sehem imeanikwa msifanye hivyo, lakini imeandikwa msizini, vipi we mwenzangu naona unafanya mbele tu huku ukiamini haufanyi dhambi!!!!!!...Amini nakuambia, usipomtendea mwanamke wako jinsi roho yake inapenda ujue utakuwa unatenda dhambi, furahishaneni jamani, acheni kujifanya wanafki wa maandishi alhali ukweli mna madhambi ya kushiba! I go anal whenever a woman pleases, sex is fun guys, hasa mnapotendeana vile roho inapenda!
 
Huu uzi haufai hapa dada hili ni jukwaa la Siasa labda ungesema leo Kilewo katuingizia wanachama wangapi kwa kazi kubwa anayofanya ya kuikomboa nchi hii sio kuombana makalio hili peleka kule EATV na wanawake LIVe faanya hivyo sasa..........tafadhali

Mawazo hasi haya!
 
Huu uzi haufai hapa dada hili ni jukwaa la Siasa labda ungesema leo Kilewo katuingizia wanachama wangapi kwa kazi kubwa anayofanya ya kuikomboa nchi hii sio kuombana makalio hili peleka kule EATV na wanawake LIVe faanya hivyo sasa..........tafadhali
Think out of the box!...Hii ni siasa mkuu...Siasa haziishi kwenye story za "Nape amjibu Slaa kuhusu bajaji za wajawazito...blah bla blah"..kwani David Cameron walivyowatishia viongozi wako juzi kwamba hatawapa misaada bila kusimamia na kuzitambua haki za mashoga mambo si haya haya?The slight problem I see here ni Kiria kutokumhoji mtuhumiwa...the husband himself.So this story sound like haiko-balanced!Jamaa labda kasingiziwa tu!
 
Think out of the box!...Hii ni siasa mkuu...Siasa haziishi kwenye story za "Nape amjibu Slaa kuhusu bajaji za wajawazito...blah bla blah"..kwani David Cameron walivyowatishia viongozi wako juzi kwamba hatawapa misaada bila kusimamia na kuzitambua haki za mashoga mambo si haya haya?The slight problem I see here ni Kiria kutokumhoji mtuhumiwa...the husband himself.So this story sound like haiko-balanced!Jamaa labda kasingiziwa tu!

well said mkuu
 
mi nilivyosikia tigo nikajua mtandao wa simu kumbe mweeeeeee
 
Mbona my wife huwa ananipa hiyo kitu kwa sana tu,halafu ni tamu wee!
 
Kwani mtoa mada hatoi mtandao pendwa kwa kamanda...?...au yeye hajawahi kutoa hiyo tiGO..?
 
Kwa kweli hapo Joyce umechemka,isipokuwa labda huyo muathirika ametoa ridhaa ya kutajwa

...Mkuu Hata kama Mhusika alitoa Ridhaa. Je dada yangu huyu wa Dododma Alifafanuliwa vizuri kuhusu hili na alikuwa na Upeo wa kuelewa hasara ama faida ya kurushwa kwake Live kwenye Tiivii akikiri kuombwa Tigo na....Kukataa?? Huyo Mtangazaji ana Uhakika wa Asilimia 100 kwamba Kweli alikataa?? Je Mtangazaji huyu alijaribu kupata Upande wa Pili wa Stori hii kwa maana ya Mume Muomba Tigo akapata naye Maelezo yake??

Inavyoonekana Sasa kila Mrembo anataka kuwa Orprah Winfrey na kurusha hewani vipindi ambavyo havizingatii sana Kanuni za Utangazi alimradi vinawapaisha wao!
:A S 39:
 
Last edited by a moderator:
Dada Joyce!

Kwanza kabisa naungana na wewe kupinga kwa nguvu zote haya mambo ya 'tiigo - mini kabang( ulawiti, ushoga etc)! kwa hakika hata Mwenyezi Mungu anachukia tabia hizi na ndiyo maana aliwaangamiza kwa kiberiti wakazi wa sodoma na gomora!

Pili, si dhani kama utakuwa umemetendea haki huyo mume/ mpenzi wa Anna muhimili kwa kuwa huja mhoji kujua credibility ya habari hii kama ethics za uandishi wa habari zinavyo elekeza, Otherwise utuambie kuwa umepost uzi usio jitosheleza! tatu hujamtendea haki Anna muhimili kwaku kumtaja kwa majina yake na kupost picha yake kwenye humu jamvini ambapo kuna uwezekano kabisa bi Anna na huyo mtuhumiwa hawana access ya kujua namna na jinsi ulivyo post habari inayowahusu maisha yao kama ipo sahihi au ime-postiwa ndivyo sivyo......
 
attachment.php


Anna Muhimili wa kitongoji cha Makuru kijiji cha Manchali B, Dodoma, Tunamuona ni Mwanamke JASIRI . Amevunja ukimya baada ya kukataa kufanyiwa ukatili wa kingono na mwanaume wake aliyemuomba ''makalio'' maarufu kama kufanya ngono kinyume na maumbile... Wanawake tupoooo? Na Wanaume muache hizo tabia..

Tutajirekebisha........
 
sijui sheria za jf zinasema lkn huu uzi sidhan kama unafaa hapa jamvini.

Labda ungeletwa kwa namna ya kuficha jina na sura za wahusika lkn kuuweka hapa ni swala la kudhalilishana na na jf haiko hivyo.
sio kwamba namponda mtoa mada ila tu nimewaza kwa namna ya maudhui ya jamvi hili je kuweka uzi wa aina hii naona ni kumdhalilisha muhusika.
nisamehewe tu kwa kuwaza kizee zaid
 
Status
Not open for further replies.
Back
Top Bottom