Yaani kuombwa tigo tu na bwanaake ndiyo kaja kusimulia mpaka kwako, na wewe ukaileta mpaka JF na kumtaja jina juu?!!..Kwani alipokataa si yaliishia hapo, au alilazimishwa? Tigo nayo ni sehemu ya Ngono tu, na watu wengi wanafanya hata wanandoa kwa hiyari yao, hata wanawake wengi tu sku hizi wanapenda hiyo mambo, niliwah kuwa na mahusiano na dada mmoja wa makamo kama yako hivyo, anaheshima yake sana tu, na respect kwa watu anayo, she is an independent woman, baada ya kama mwezi mmoja wa mahusiano akaniambia kuna kitu sijamfanyia lakini haniambii, na kama kweli mimi ni mwanaume nikitafute mpaka nikipate, na nikikipata hataniambia kuwa nimekipata bali nitaona mwenyewe majibu, mwanaume nikahangaika huku na kule, mpaka cku moja katika mambo ya kuonja chumvi mboga si nikagusa panapohusika, kelele zake hazikua ndogo, nikagundua furaha yake ilipo.......siku hiyo ilibidi kidogo niite ambulance, maana mdada wa watu pumzi ilikata kwa raaaaaha! Nachojaribu kueleza hapa ni kwamba, katika mapenzi kila mtu ana fantasy yake, wanawake wengine hata kuonja mboga mtagombana! Wanawake simameni imara, mambo ya ndani haina maana kuyasimulia nje, labda kama mwenzio anakulazimisha, na kwweli anakulazimisha kufanya kitendo ambacho wewe haukubaliani nacho! La sivyo kama umeshamwambia mwenzio kuwa HAPANA, SIPENDI TUFANYE HIVYO, na yeye akaridhia na kusema IM SORRY yaishie hapo chumbani, siyo mara kwa kiria mara kwa nani, watatake advantage kutafuta umaarufu kwa mgongo wako.