MtazamoWangu
JF-Expert Member
- Apr 25, 2009
- 313
- 7
kweli nguvu ya mafisadi imeonekana jimbo Same mashariki, na ukiona Mama Ana kilango analalamika kiasi kile bungeni basi AMINI ni masikitiko kutoka moyoni kwake....hali yake jimboni ni mbaya sana na hata watu wake wa karibu wamemshauri hali ni ngumu sana, fitina zilizopandwa ndani ya jimbo na pesa zilizomwaga basi zimefanya hata wale wananchi waliokuwa wakimpenda kujenga chuki nae.....
Utafiti uliofanywa unaonyesha Mama Ana kilango huenda asirudi tena bungeni kwani upinzani ni mkubwa ssana, na kutokana na muda muwa mfupi kazi itakuwa kubwa kubadilisha matokeo....
Utafiti uliofanywa unaonyesha Mama Ana kilango huenda asirudi tena bungeni kwani upinzani ni mkubwa ssana, na kutokana na muda muwa mfupi kazi itakuwa kubwa kubadilisha matokeo....