MWILI NYUMBA
JF-Expert Member
- Jun 18, 2012
- 817
- 256
Hizi Pumba zako peleka kwenye vijiwe vya gahawa au madrasa unaweza eleweka lakini siyo hapa kwa watu wenye akili nyingi na wanaosoma sana maandiko mbalimbali. sasa sikiliza wewe maamuma....
Muhamad is the founder of Islam, Fact
Baba mzazi na mama mzazi wa Muhamad hawakuwa Waislamu, Fact
Kimsingi hakuna dini ya kikristo bali wafuasi wa kristo na ukristo kimsingi siyo dini, hili linahitaji mtu mwenye akili kulitambuwa na siyo mtu wa Mihadhara.
Wakati wa Yesu Kristo hakukuwa na watu waliokuwa wanaitwa Wakristo.
Hapo kwenye Bold kama umeielewa comment yangu hapo juu wala usingerudia hiyo sentensi yako. Lazima kwako ni fact kuwa Muhhamad ndiye founder wa uislam maana ndiyo umekalilishwa hivyo ndiyo maana umeishia kusema ni fact bile kuweka evidence za kuprove hicho unachokiamini. Umesoma wapi kwenye kitabu kipi wakasema Muhammad ndiye muasisi wa uislam?Hivi unavyojishaua unaisoma Vitabu umeshindwa kuona kwenye Quran wamesemaje juu ya mwanzo wa uislam?
Hapo kwenye RED mimi simo hiyo ni dialogue nyingine kabisa ambayo kuna watu wameshawahi kufungwa jela kwa kauli hiyo.