MAULA
JF-Expert Member
- Apr 6, 2012
- 1,056
- 170
Nilikua na mpenzi kipindi nipo form V na baada ya kuhitimu form VI aliniambia yeye anataka aolewe nikamwambia nijambo jema ingawa namjua mtu anaetaka kuoana nae kwani nilisha ambiwa.
Ilipiata miaka mitatu nilikutana na huyu mwanamke na akanisimulia maisha yake ya ndoa yaani hakua akiyafurahia na aliendelea kuja nyumbani pia kwani tulikutana hapo, yaani nje ya nyumbani kwangu siku ya kwanza alikuja pale mara kadhaa.
Siku moja nlkua napiga nae story ndipo kunajamaa angu alpita nae tulipotezana kwa mda kidogo kwa hiyo aliniomba no ya simu.Nilipo mtajia na yule mwanamke akaijua hapo.Akaanza kunitumia txt na m nlzijibu baada ya dp chati nljikuta nimerud kukumbushia kwan mtaraka huwa hatongozwi.
Lakini baada ya mda nilihama mkoa.Tukawa tunachati sana kumbe mumewe alizipata taarifa.
Leo natoka nyumbani kuelekea kituo cha daladala niende mjini gafla nimesikia brek za gari zikifungwa pembeni yangu kugeuka.
Ndipo kinaona toyota haria na kunajamaa akaniomba nimwelekeze sehemu fulani kwa kua ndo nilikokua naelekea nikamwambia twende tuu pamoja kwani na mimi naelekea maeneo ya huko .Njia akajitambolisha na kuniambia kua amenitafuta anifikishia ujumbe niache mahusiano ya kimapenzi na yule mwanamke na kanifikisha mpaka mjini na kuniaga.
My take:Kiukweli jamaa ni mstaarabu ila mi nilishaacha mahusiano nae na kwa jinsi jama alivyonielekeza inaonesha huwa yule mwanamke anasafiri na inaonekana anakuja kwangu na ni kitu ambacho sio sahihi.
Ushauri hapa kwani hili ni tatizo.
Ilipiata miaka mitatu nilikutana na huyu mwanamke na akanisimulia maisha yake ya ndoa yaani hakua akiyafurahia na aliendelea kuja nyumbani pia kwani tulikutana hapo, yaani nje ya nyumbani kwangu siku ya kwanza alikuja pale mara kadhaa.
Siku moja nlkua napiga nae story ndipo kunajamaa angu alpita nae tulipotezana kwa mda kidogo kwa hiyo aliniomba no ya simu.Nilipo mtajia na yule mwanamke akaijua hapo.Akaanza kunitumia txt na m nlzijibu baada ya dp chati nljikuta nimerud kukumbushia kwan mtaraka huwa hatongozwi.
Lakini baada ya mda nilihama mkoa.Tukawa tunachati sana kumbe mumewe alizipata taarifa.
Leo natoka nyumbani kuelekea kituo cha daladala niende mjini gafla nimesikia brek za gari zikifungwa pembeni yangu kugeuka.
Ndipo kinaona toyota haria na kunajamaa akaniomba nimwelekeze sehemu fulani kwa kua ndo nilikokua naelekea nikamwambia twende tuu pamoja kwani na mimi naelekea maeneo ya huko .Njia akajitambolisha na kuniambia kua amenitafuta anifikishia ujumbe niache mahusiano ya kimapenzi na yule mwanamke na kanifikisha mpaka mjini na kuniaga.
My take:Kiukweli jamaa ni mstaarabu ila mi nilishaacha mahusiano nae na kwa jinsi jama alivyonielekeza inaonesha huwa yule mwanamke anasafiri na inaonekana anakuja kwangu na ni kitu ambacho sio sahihi.
Ushauri hapa kwani hili ni tatizo.