bona
JF-Expert Member
- Nov 6, 2009
- 3,798
- 1,444
hama na asijue unapokaa kaka huyo jamaa usijidanganye eti ni mstaarab anakutafutia poz kaa mbali sana infact hama hata mitaaa msiwe mna cross na asijue unapokaa atakufanya kitu hamna rangi utaacha ona!!! na uyo wife wake futa au block namba yake kabisa au badili hata namba!!!