Mpunilevel
JF-Expert Member
- Sep 14, 2015
- 3,140
- 1,871
Siku zote unamaanisha huyo, na si vinginevyo pamoja na puzzle zakoHivi tunajadili hoja au mtu? Kwanini udhani ni yeye na si mwingine yeyote? View attachment 393322 punguza kasi kisha tafakari...!
Ukiwa na akili au kiona Mbali wala huwezi kuwa na fikra as kipumbavu kama ulizo bebaYaan nimeshutuka sn.Nikafikiri kuna anguko la chama au anguko la kiongozi,kumbe ni fikira zako na ndoto ndo unaleta hapa.Pole sn ndoto si mahala pake hapa.
Ngoma ikivuma sana hupasuka na mwenye kiburi akishupaza sana shingo huvunjika mara
Tuwe na tuo tuwe na tafakuri kwenye maneno yetu...mtu anayejisifia rohombaya wazi wazi sio kwamba hana tu hekima lakini pia hana saburi na hatafakari matokeo ya kauli zake..huyu ni mwovu
Ulimi wa mwenye hekima hutamka maarifa vizuri, bali vinywa vya wapumbavu humwaga upumbavu, huchochea ghadhabu huchochea visasi chuki na ubabe....dhima ya kiongozi ni kuleta umoja na maridhiano sio kuchochea chuki na visasi
Kiongozi mwenye hekima kamwe hawezi kuongea karaha..karaha huleta simanzi na majonzi, mtu wa karaha hana ogofyo lolote, ni kiburi na kiburi chake ni anguko
Nuru ya mtu mbaya huzimika ghafla bila tahadhari bila taarifa...mtu wa hekima hutengeneza patano kwa njia ya mashauriano
Je tunatengeneza ama tunabomoa?
Je tunahubiri amani ama visasi?
Je tunaeneza ustawi au anguko?
Je Tunafundisha hekima au upuuzi?
-hakuna kitu kibaya kama kuruka mkojo na kukanyaga kinyesi
Yaan nimeshutuka sn.Nikafikiri kuna anguko la chama au anguko la kiongozi,kumbe ni fikira zako na ndoto ndo unaleta hapa.Pole sn ndoto si mahala pake hapa.
WanatapatapYaan nimeshutuka sn.Nikafikiri kuna anguko la chama au anguko la kiongozi,kumbe ni fikira zako na ndoto ndo unaleta hapa.Pole sn ndoto si mahala pake hapa.
Msiye mtaka kaja. Huyu ndiye rais tuliyemuhitaji kwa muda mrefu sana.Na kwanini anapenda kututumia vibaya masikini kuwa yupo pamoja nasisi? Ngoja nijijibu; Anatukejeli na kufurahia hali tulizonazo.
Wewe mwenyewe umejipulizia hewa hasi kichwani mwako hadi sasa unaanza kuona maluweluwe. Haya ndio madhara yake. Oh anguko sijui nini, unaweweseka tu.View attachment 393263
Umefikiri hivyo kwakuwa tayari kichwani mwako una hizo fikra na yale mambo maovu mnayopanga kizani ulidhani tayari yameshafanya kazi...God forbid hilo halitatokea
Sababu ya shetani.Mbona vilio kila kona
.
.
!!!??
Huyo ni jamaa yetu tunajua mtu wako alikuwa JK kesha staafu.poleni sana,naona jamaa yenu anawanyorosha
Hata church nimegoma kwendaLeo Ni siku rasmi ya ibada, umekumbuka kumuombea Bob lakini!?.
Basi nikutoe wasiwasi,wewe ni fool.Sina uhakika sana!
Ngoma ikivuma sana hupasuka na mwenye kiburi akishupaza sana shingo huvunjika mara
Tuwe na tuo tuwe na tafakuri kwenye maneno yetu...mtu anayejisifia rohombaya wazi wazi sio kwamba hana tu hekima lakini pia hana saburi na hatafakari matokeo ya kauli zake..huyu ni mwovu
Ulimi wa mwenye hekima hutamka maarifa vizuri, bali vinywa vya wapumbavu humwaga upumbavu, huchochea ghadhabu huchochea visasi chuki na ubabe....dhima ya kiongozi ni kuleta umoja na maridhiano sio kuchochea chuki na visasi
Kiongozi mwenye hekima kamwe hawezi kuongea karaha..karaha huleta simanzi na majonzi, mtu wa karaha hana ogofyo lolote, ni kiburi na kiburi chake ni anguko
Nuru ya mtu mbaya huzimika ghafla bila tahadhari bila taarifa...mtu wa hekima hutengeneza patano kwa njia ya mashauriano
Je tunatengeneza ama tunabomoa?
Je tunahubiri amani ama visasi?
Je tunaeneza ustawi au anguko?
Je Tunafundisha hekima au upuuzi?
-hakuna kitu kibaya kama kuruka mkojo na kukanyaga kinyesi
Hizi zinaitwa ibada za laana...hatuzungumzii ustawi wa jamii bali umaskini kama vile ni kitu kizuri sana cha kujivuniaNa kwanini anapenda kututumia vibaya masikini kuwa yupo pamoja nasisi? Ngoja nijijibu; Anatukejeli na kufurahia hali tulizonazo.
kuna sababu ya kumdhibiti huyu jamaa bila hivo ataipeleka pabaya hii nchi...Mimi furaha ya kuishi imekwisha, maana sijui hakika ya kesho itakuwaje, kila siku baba anatoa matamko tata ya kutupa wasiwasi
Asante sana.Karibu Makete mkuu uonane na Wakinga,Wamagoma,Wawanji na Wamahanji ule na ugali wa ngano upate akili.
Sasa unatetea utawala wa hawa CCM wakati miaka yote unakula vumbi hapo.Asante sana.
Hakuna kikomo cha kupata akili.
Mie hulima kabeji hapo kijiji cha kipengele na inavyoelekea wewe ni jirani yangu...
Mkuu hii nimeikubali
Hii mada haistahili kuleta hamasa za kisiasa.Sasa unatetea utawala wa hawa CCM wakati miaka yote unakula vumbi hapo.
Barabara ya lami imeanzia Mang'oto hadi Makete mjini.
Kuanzia Njombe hadi Mang'oto wamemuachia nani?
Acha ushabiki wewe wilaya yetu ilianzishwa mwaka 1980 hadi leo lami ni nusu nusu.
Acha kula kabeji sijui kabichi zinaharibu akili yako.