Superhuman 1995
JF-Expert Member
- Aug 29, 2020
- 1,506
- 2,452
Dalili ya mvua ni mawingu,historia yeyote duniani huwa inamtindo wa kujirudia, pia hakuna kitu kisicho na signs zake , hakika anguko kubwa lipo njiani ,kitu ambacho kilikuwa hakina budi kotokea,sasa kipo njiani kutokea,mwenye macho aone na mwenye masikio asikie,hii sio ndoto tena bali ni ulimwengu halisi,wale wote waotao ndoto ya yule ni kweli kunamfanano wa yule kwa kila kitu lakini mmoja anapenda utawala wa sheria,hii sio accident ni kanuni ya asili,haina budi kutokea upepo na mawimbi ya bahari yatulie.