One Man Army
JF-Expert Member
- Dec 27, 2011
- 236
- 34
hivi wale waliokutuma mash*ga?''wale ma*hoga toka kitamboo''
Nilifuatilia kwa makini kabisa bunge lililopita, nilichogundua ni kwamba wabunge wa cdm walioanzisha swala la kuiwajibisha serikali ni halima mdee na Tindu Lissu.
Kwa mshangao wa wengi mbunge Zitto Kabwe aliteka mawazo ya hao wabunge wawili na kunukuliwa akisema swala la kuiwajibisha serikali lilikuwa ni la kwake, kwa lugha nyepesi tu utagundua ya kwamba cdm hawako pamoja kama chama ila ni mkusanyiko wa wanaharakati wenye malengo binafsi.
Ndugu yangu Makupa hivyo visenti unavyopata kutoka kwa wakina Nape kusambaratisha Chama kubwa zitakutokea puani kila mtu ana njaa lakini ya kwako imekithiri kweli nimeamini wewe ni mangi meza
Weye naye!!!!...Acha kukurupuka...soma alama za nyakati....fikra za kimagamba magamba hazitakusaidia chochote.
eace:eace:eace:
People's ........
Alutta Continua! Continua
Nakubaliana na wewe, hapa mtaani kwetu mwenyekiti wa tawi la CDM na Katibu wake usiku wa jana wameshikana mashati; kweli hiki chama ni uvunjaji wa amani tu
Ukiona new member humu ndani anaipinga CDM ujue katumwa ni wa kumpotezea, mpaka sasa ccm mumepoteza washabiki. jiandaeni kuhama nchi, na huko mtakakoenda sijui kana watawakubali na tabia yenu mbaya.
Nilifuatilia kwa makini kabisa bunge lililopita, nilichogundua ni kwamba wabunge wa cdm walioanzisha swala la kuiwajibisha serikali ni halima mdee na Tindu Lissu.
Kwa mshangao wa wengi mbunge Zitto Kabwe aliteka mawazo ya hao wabunge wawili na kunukuliwa akisema swala la kuiwajibisha serikali lilikuwa ni la kwake, kwa lugha nyepesi tu utagundua ya kwamba cdm hawako pamoja kama chama ila ni mkusanyiko wa wanaharakati wenye malengo binafsi.
Mambo gani mkuu hayaendi vizuri
Nilifuatilia kwa makini kabisa bunge lililopita, nilichogundua ni kwamba wabunge wa cdm walioanzisha swala la kuiwajibisha serikali ni halima mdee na Tindu Lissu.
Kwa mshangao wa wengi mbunge Zitto Kabwe aliteka mawazo ya hao wabunge wawili na kunukuliwa akisema swala la kuiwajibisha serikali lilikuwa ni la kwake, kwa lugha nyepesi tu utagundua ya kwamba cdm hawako pamoja kama chama ila ni mkusanyiko wa wanaharakati wenye malengo binafsi.
ungeanza basi kwa kutoa pole kwa wale wenzetu mnaowakata mapanga arusha na arumeru....Mambo gani mkuu hayaendi vizuri
Kumbe ni kweli common sense is not always common. CDM leardership is not a homogeneous lot, ni watu wenye common vision na mission; lakini kila mmoja anafikiri independently and that synergy of independent thought process ndiyo inayozaa Kimbunga unachokiona kinaipeperusha MAGAMBA mpaka hawaelewi what is hitting them.
wewe unataka CDM ifanye kazi kama JK anayeshindwa kutumia executive authority yake kama Rais kuwawajibisha mawaziri na watendaji wahuni wachache mpaka aitishe CC ya magamba, uko wapi wewe? faculties zako umezimpeleka sabbatical leave?!
Nilifuatilia kwa makini kabisa bunge lililopita, nilichogundua ni kwamba wabunge wa cdm walioanzisha swala la kuiwajibisha serikali ni halima mdee na Tindu Lissu.
Kwa mshangao wa wengi mbunge Zitto Kabwe aliteka mawazo ya hao wabunge wawili na kunukuliwa akisema swala la kuiwajibisha serikali lilikuwa ni la kwake, kwa lugha nyepesi tu utagundua ya kwamba cdm hawako pamoja kama chama ila ni mkusanyiko wa wanaharakati wenye malengo binafsi.
Nilifuatilia kwa makini kabisa bunge lililopita, nilichogundua ni kwamba wabunge wa cdm walioanzisha swala la kuiwajibisha serikali ni halima mdee na Tindu Lissu.
Kwa mshangao wa wengi mbunge Zitto Kabwe aliteka mawazo ya hao wabunge wawili na kunukuliwa akisema swala la kuiwajibisha serikali lilikuwa ni la kwake, kwa lugha nyepesi tu utagundua ya kwamba cdm hawako pamoja kama chama ila ni mkusanyiko wa wanaharakati wenye malengo binafsi.