Anguko la CHADEMA lipo njiani


Madam Mamndenyi watanzania wamegutuka kuwa hii ni SACCOS ya kilaghai ukizingatia UPATU umeshawafanya sana vibaya miaka ya nyuma.eg DECI
 
Mamndenyi , Mwanasiasa wa kiingereza anayeitwa Harold Wilson alishawahi kusema, A week is a long time in politics.

CHADEMA walikuwa wanabebwa na siasa za uwongo, majungu na kilaghai ambazo zilikuwa zinatumia lift kuwafikia wananchi huku ukweli ukitumia ngazi.

Kwa sasa ukweli umefika kwa wananchi na matokeo ndiyo haya tunayoshuhudia.

Kuna viongozi wengine waridiriki mpaka kwenda London na kupiga picha mbele ya helikopta na kuudanganya umma kuwa wameenda kununua helikopta katika mwendelezo wao wa siasa za uwongo na ulaghai.

It's time to catch up with reality.

Hebu waulize, hiyo helikopta walinunua?.



Thread yake ilikuwa hii,
 
Kinachowamaliza ndio hiki;
hamjakomaa kisiasa;
hivi unafikiria kuwa naogopa matusi mimi?

 
Helkopta za kufanyia kampeni kwa nchi yetu ni upuuuzi na uzushi mtupu;
tena zinawatisha watu wakijua kuwa ndo wameshavamiwa;

Akina lema na wenzie wanaenda kujishoo huko majuu na kulia lia njaa zao hawana jipya.

 

Chalinze waje hata na punda tunawasubiri
 
we bibi kalenga si mmetetea jimbo lenu kwa nini unataka kufanya ionekane kama vile mmechukua jimbo la cdm!!!
 
Hatutaki waanguke tunataka wawe wazalendo na kutii mamlaka mambo yao ya kihuni waachane nayo
ni kweli wanafanya mambo ambayo kwa tafsiri ya magamba yanaonekana ya kihuni; mambo yenyewe kwa uchache ni kama ifuatavyo;
1. Kuhamasisha wananchi watanzania wawe walizi wa rasilimali zao
2. Kukemea Ufisadi ulioimaliza hii nchi kama EPA,MEREMETA, RICHMOND, USAFIRISHAJI WA TWIGA, UWINDAJI HARAMU NK.
3. IMEMWAAJIBISHA MAFISADI, MPAKA LEO MAWAZIRI WANABADILISHWA KILA WAKATI.
4. IMEPIGANIA KATIBA MPYA..MPAKA SASA NDIYO INAYOTENGENEZWA
ni hayo tu kwa uchache ambayo yanaonekana ni ya kihuni chadema inafanya.
 
Mingoi na mwisho wa hii deci ni kila mmoja kudai mafungu yake;
hapo ndipo mambo yatakuwa hadharani.
Madam Mamndenyi watanzania wamegutuka kuwa hii ni SACCOS ya kilaghai ukizingatia UPATU umeshawafanya sana vibaya miaka ya nyuma.eg DECI
 
Last edited by a moderator:

Very typical of wanazi wa CDM. Badala ya kujibu na kuchambua hoja matusi yanaanza...
 
Sio lazima kupost, unaweza kuchangia kwa wenzako wanaopost kamba za kueleweka afu ukaongeza idadi za post na rep
power. Kamba haieleweki mamdenyi!! review
 
Hakuna wanachokifanya;
Hivi ukiwa unaruka huko angani ha helkopta utawaona wapi hao wananchi ili usemezane nao?

 
Akili mgando, pole zako.
Sio lazima kupost, unaweza kuchangia kwa wenzako wanaopost kamba za kueleweka afu ukaongeza idadi za post na rep
power. Kamba haieleweki mamdenyi!! review
 
Kwanza nikupongeze kwa uchambuzi wako murua uliondika ni ukweli mtupu, ni kweli anguko la Chadema limetimia.

Hahahahaaaa.. vipofu bwana, eti uchambuzi murua.. Hii kweli mahaba nitese. Mtasubiri sana hilo anguko na badala yake mtajikuta mnaanguka nyie.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…