Anguko la CHADEMA lipo njiani

Hivi hili anguko@litatokana na kuwafukuza wasaliti au?

 
Kufukuzwa masalia ni pigo takatifu huko Lumumba. Mtaweweseka sana mwaka huu.
 
Hivi kumbe bado pana watu wanawaza utawala wa CHAMA KIMOJA!!!!!
 
Imeishakula kwenu mtahangaika sana
 
nafananisha na ile hadith ya fisi kuzani mkono wa banadamu utanguka pale mala pale mala kuhamaki cdm wako ikulu
 

Kwa kweli Watanzania wana akili sana, si huoni madini waliwapa wazungu wanaachia wasukuma mashimo, si huoni ndege waliwapa wasouth africa, si huoni hela zao ziko uswisi, si huoni katiba mpaka cdma wawaandamane ndio inaletwa, si huoni waliuza utu wao mwaka 2005 kwa hela zao za EPA, si huoni walivyowakarimu ndio mana wanagawa hela kupitia kagoda, richmond na kadhalika.
 
Una shida weye, yaani hata kama huna point ya kuandika lazima uandike ili mabwana wako wa Lumumba waone uko kazini!?
Haya subiri, kama NGUVU YA UMA huwa inaanguka.
 
Unachosha watu kwa hoja butu, Chadema sio chama cha genge la wahuni, watoa matusi, na kuhujumu chama, hayo huko huko kwa magamba. Sisi CDM tunasema no stone will be left unturned mpaka tumalize wasaliti na wazandiki wote. Hatuangalli sura Chama hakiwezi kujengwa kwa kulea wahuni eti watahama, wahame tena haraka kabla ya panga halijawakumba. Sisi hatutishii kama wenzetu Magamba eti tuwape siku za nn wakati tunawajua. Timua wote wakafie mbali wehu hao wanachafua chama kwa kupewa posho za wali mbuzi.
 
Kufukuzwa masalia ni pigo takatifu huko Lumumba. Mtaweweseka sana mwaka huu.

Watu wametoa ushauri sana hapa la kuachana na mikakati ya kizamani, lakini bado hawasikii! Kila zama na mambo yake!
 

wengine tumekuelewa vizuri sana,tatizo hujasema baada ya kuwashtukia hawa chadema na njama zao je,ni chama gani mbadala kwa manufaa ya watanzania na tanzania yenyewe,mabadiliko tumeumbiwa binadam hivo hatuwezi kuyazuia japo kuyachelewesha inawezekana! Chukua nawe ushauri wangu huu usiweke uzibe,ccm ata kama haitang'olewa na chadema lakini mda ukifika ata TADEA itachukua,ni bora ukakutwa unajiaandaa ili usile hasara kama wale walogeuza hekalu la Bwana sehemu ya uchuuzi/soko, aliyekuwa na njiwa hakumpata hata njiwa wake mmoja!
 
Hata mbuyu ulianza kama mchicha,endeleeni kulea migogoro kwa kivuli cha ccm-kama hamtaumbuka.
 
kuwafukuza wasaliti ndani ya chama hijaanza kwa kina mchange, mtela na shoza. nenda mbali zaidi kwa kuwauliza watu wa arusha kuwa baada ya kuwafukuza viongozi wake (madiwani) watano waliochaguliwa na wananchi (arusha), chama kilibaki na taswira gani mbele ya wana arusha na watanzania kwa ujumla. ukipata jibu linganisha na fukaza fukuza hii na dhana ya vua gwanda ya CCM ili kujiridhisha ni chama kipi kinalinda nidhamu yake na kujenga imani kwa watanzani. wahenga walisema "mwana umleavyo........"
 
Utadhani unaendesha Guta.Mungu akusaidie.
 
ili iweje chadema ikianguka?,,,,,mpate raha ya kuiba........
 
Mawazo haya yanatisha na kukatisha tamaa. Kama ma great thinker tulionao ndiyo hawa, basi ni KAZI KWELI KWELI!! Mimi siyo mwanachama wa Chadema, lakini sipendi chama hicho kife. Nashabikia kipate nguvu ikiwezekana sawa au zaidi ya chama tawala kwa nia ya ku-balance nguvu za maamuzi kwa mustakabali wa nchi yetu. Ni pale kunapokuwa na upinzani wenye nguvu, katiba imara, nguzo tatu za uongozi wa nchi zilizo huru ndipo tunaweza kama nchi kurealize maendeleo. Nchi zote tunazozisifia kwa kuwa na maendeleo zinaheshimu demokrasia na amani ya kweli (Kenya itakuwa mfano nahakika baada ya uchaguzi huu). Kwa hiyo kushabikia chadema kufa ni aibu kubwa.
 
Vijana kuweni makini! Epukeni short cut. Mission mnazopewa ndo makaburi yenu! Kumbuka ukishindwa ku fulfil mission either uuawe ili kutunza siri au utoroke na uish maisha ya digidigi! KIJANA JIAMINI TUMIA JASHO LAKO NDO LENYE BARAKA ZA MAISHA YAKO EEH!
 
Tanzania tanzania peopoplesss pawaaaaaaaaa,Chadema chadema peopl.................naimba tuu nitarejeeea

Eti hapa ulikuwa unataka kumaanisha nini?

Umeandika nini hapo?
 

Similar Discussions

Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…