Anguko la CHADEMA lipo njiani

Anguko la CHADEMA lipo njiani

Watu wenye akili zetu tunapoandika kuwaasa Watanzania wenzetu wajiepushe na chama hicho, tukiwasihi watuamini kwamba hicho kinachoitwa Demokrasia na Maendeleo ndani ya hicho chama ni ghilba na hadaa tu inayolenga kuwanufahisha baadhi ya waliomo, wanakuwa na moyo migumu kama kina Tomaso wa enzi za Yesu.

hakuna democrasia isiyokuwa na nidhamu baba,wewe ufanye ukuda wako tukuache eti kisa democrasia?chama hiki ni tegemeo na tumaini kwa watanzania ktk kuwaondolea mkoloni mweus ccm,leo uje unataka kuturudisha misiri tukuache?haiwezekani hata kidogo.
 
Kama unasubiri cdm ife eti kwamba mtu mmoja kaondoka, pole sana.Aliondoka aliyekuwa katibu mkuu Kabourou lakini cdm iko hadi leo.Acha udaku.
chadema itakufa siku wakimfukuza Zitto! heche amejaribu kwa juliana ngoja tuone kama yupo mwenye uwezzo wa kumfukuza ZZK
 
kweli ujinga kazi...kwa hiyo ruzuku ulitaka tugawiwe wanachama kila mtu fungu lake? kweli mfa maji....(CHADEMA WILL STAND FIRM) na propaganda hz zna mwisho wake, hii siyo CUF mliyoiuwa kwa kelele
 
Kama unasubiri cdm ife eti kwamba mtu mmoja kaondoka, pole sana.Aliondoka aliyekuwa katibu mkuu Kabourou lakini cdm iko hadi leo.Acha udaku.

kama upo kwenye uongoz waambie wenzako wajaribu kumfukuza zitto halafu muone! Kaborou kwa wakati wake chadema haikuwa vile ilivyo sasa! Zitto ndiye anaipa chadema sura ya utaifa na sio ukanda na udini ambao umeota mizizi ndani ya hicho chama chenu!
 
Chadema iliwafanya Watanzania wenzetu kadhaa wamepoteza maisha yao katika mikoa ya Singida, Morogoro, Mwanza, na Iringa, lakini bahati nzuri Rais Kikwete, analinda amani.
 
Acha utoto wewe.wassira aliitabiria chadema kufa ndani ya mwaka mmoja lakini bado ipo na wassira ndo anakaribia kufa kwa mawazo.
 
Watu wenye akili zetu tunapoandika kuwaasa Watanzania wenzetu wajiepushe na chama hicho, tukiwasihi watuamini kwamba hicho kinachoitwa Demokrasia na Maendeleo ndani ya hicho chama ni ghilba na hadaa tu inayolenga kuwanufahisha baadhi ya waliomo, wanakuwa na moyo migumu kama kina Tomaso wa enzi za Yesu.
Samahani mzee Spike, kazi yako ni sawa na ya ulezi wa vyama kidogo! maana naona unawapangia watu vyama vya kujiunga! kwani waliojiunga chadema uliwapangia wewe... kama unaona CDM hakifai we sepa tu, wala huna shida ya kutangaza, na hiyo ni kwa faida yako mwenyewe, wewe haubebi akili za watu kuwapangia na kuwaamulia mambo...kwa hiyo unashauri tujiunge na Chama Cha Majambazi, mtu mzima sasa wewe tumia akili yako
 
"Anguko lipo njiani" nijuavyo kitu kinaanguka toka juu kwenda chini.Kama Chadema lipo njiani,basi tayari limeshatua salama na limebaki kuserereka tu hadi ushindi.:becky:
 
DK.Slaa huyu ndiye tumaini la Chadema. Pamoja na kwamba wanajua hataweza kukanyaga Ikulu kwa sababu Watanzania hawajawa wajinga kiasi hicho. Lakini wanajua wakimtumia vizuri Dk.Slaa ni mtaji wa kuongeza ruzuku, fursa kuu ya kiuchumi ambayo ndiyo lengo kuu la Chadema
Kama alikanyaga Kikwete dhaifu kiasi hicho Mtanzania mwingine yeyote anaweza kufika bila shida
 
Kila thread dr slaa ....m4c inaumiza wengi sana mungu nope uhai nishuudie anguko la nyinyiem
 
yaan chadema mnamshabikia slaa ambaye naye pia alikuwa ccm mpaka alipotoswa kugombea ubunge kupitia ccm jimbo la karatu! Eti leo huyu ni mtu wa maana sana; kiukweli hana tofauti na shibuda na mpendazoe! Jembe la chadema ni zitto ambaye hapewi nafasi ya kuongoza chama kwa kuwa hatoki kilimanjaro au arusha!
 
Spike Lee aliyekuambia hela ya ruzuku ya chama kingine cha siasa ukiacha kile kilicho madarakani ni kwa ajili ya maendeleo ni nani? Kabla hujaleta mada hapa hebu soma kwanza machapisho ujue undani wa unachotaka kusema. Sasa na CUF na vyama vingina si vinapata ruzuku? Wao umewaweka upande gani? Mnatumika sana kuisakama CDM ila jeuni kwamba Watanzania hawadanganyiki tena!!! Leteni kila pumba na washawasha hapa lakini hakuna anayekubali kuwashwa tena!! Pro SSM na wake zake na wanawe at work!!! Mpaka 2015 mtakuwa umezusha weee na hakuna wa kuasikiliza. Waite na rafiki zangu Rejao, Ritz, Zomba, Chama, et al... waje wakuunge mkono.

Anguko la waliokutuma ndilo liko njiani maana wameshinda kutekeleza azma ya maisha bora kwa kila mtanzania badala yake tumekuwa na maisha bora ya mafisadi, walarushwa, wabadhirifu, wezi, majangili hadi polisi wamo, yaani ni uozo mtupu. Unajua asilimia 69.5 ya Watanzania wanakula mlo mmoja kwa siku ambao ni chini ya dola moja gharama yake? Shule mmeshinda hadi mnapeleka alama Chee na Deee sekondari!!! Ni kitu gani mmefaulu? Mkiangalia hata katika Millenium Development Goals, mlichoweza ni kidogo sana wakati hela ya Donors ni kibao na mnatia tumboni kwa uroho wenu tu na sasa wameamua wanataka kubwaga manyanga!! Aibu yenu!!
 
Hujaona M4C na watu tulivyozinduka kwa sababu ya harakati hizo? Je, nyie magamba mmemwelimisha nani kuhusu elimu ya uraia? Jueni basi kuwa hata kama mtaiua chadema kwa umafia wenu tutachagua Chama kingine, ccm inanuka tangu rushwa tangu siku nyingi na UVUNDO HUO AAGH! GOD FORBID!!1!:glasses-nerdy:
 
Dua la kuku hili halimpati mwewe ng'o
 
Hili ni dua la kuku. Watanzania wengi ni wangapi. Wengi huweza kuanzia wawili. Endeleeni kuombea hilo anguko la cdm kwani ndio wajibu wako pia. Ila kumbuka Mungu anakubali maombi ya wenye haki!!
 
Kwa hiyoo unataka cdm ikulipie hadi hela ya tuition.. kwa kuanzia tunataka chama kisimamie vyema rasilimali za taifa na mipangilio mizuri ya mapatoo hayo ndo maendeleo ya mwanzo kabisa.. ccm imeshwindwa hayoo,na kama unaona cdm hakuna na haitoi demokrasia basi toa reason zako hapa... acha ndoto za abunuasii
 
Back
Top Bottom