Anguko la CHADEMA lipo njiani

acha ife, maana imetugeuza watanzania kama wajinga wote, nasema chadema kufa kufa kufa. wachaga wakapalilie migomba yao.
teh teh, na mafisadi waendelee kutesa! A.k.a wazee wa makengeza na marafiki zao.
 
hii chuki ya ubaguzi unayoipandikiza haitakuacha salama kamwe, wewe na vizazi vyako vyote kamwe!
 
Chama gani cha siasa wanaosaliti na kukiuka kanuni ni wa kabila nje ya wachaga Wakati kimejaa wachaga tu. Jiulize na chukua hatua sasa na kutoka familia ya Mushi, minja, lyimo, Urasa, Chuwa, Lema, mtei n.k.
jiunge na ccm isiyojaa ubaguzi, maana wanaochota mabilion kule escrow ni watanzania wote na sio tu kina chenge, tibaijuka, ngeleja na mafisadi wenzao!
 
Hao uliowataja washawahi kuwa na nyasifa gani? ndani ya chama hicho cha kichaga.
teh teh kwani ndani ya ccm makabila yote wana nyadhifa ndani ya ccm?mbona hakuna mngoni aliyewahi kuwa mwenyekiti taifa?
 
ubarikiwe mkuu!
 
Chama gani cha siasa wanaosaliti na kukiuka kanuni ni wa kabila nje ya wachaga Wakati kimejaa wachaga tu. Jiulize na chukua hatua sasa na kutoka familia ya Mushi, minja, lyimo, Urasa, Chuwa, Lema, mtei n.k.
Propaganda za kike!
 
Haa haa yaani chama kife sababu ya kufukuzwa mwanachama wake mmoja? Kama kikifa kitakuwa hakikuwa chama bali ni kikundi cha mtu! Chama ni wanachama na sio mwanachama, chama ni sera na sio mtu, chama ni viongozi na sio kiongozi! Wale waliokuwa mashabiki wazito waweza kuondoka naye, lakini wale wanaotambua chama sio mtu hakika wataendelea kukipigania chama hiki.
 
Utajua waso na hoja.je na tundulisu,slaa,mnyika,patroba,salum mwaalim,pf. safari nao hawa wachaga? Utumwa wa akili kazi!

Hao wanatumika kama dodoki, muda wao ukiisha yaani wachaga wakishika dola angalia mazengwe watakayotengenezewa, la Zitto ni dogo, just wait. Kama Nyerere alivyowatumia waislam kupata uhuru na baadae akawatosa, the same applies !
 
Muda si mrefu baada ya uchaguzi mkuu kuisha Mwaka huu naiona chadema ikisambaratika. Amini nawambieni na asiye na masikio na asikie.

Alamsiki.

Ndoto za mchana huwa zinadanganya jamani,hasahasa kama umekula makande halafu ukanywa na maji mengi ni hatari mno.
 
Tambua kigoma ni mkoa wa wasaliti tangu mwanzo. Unamkumbuka zito,tambwehiza,nzanzungwako,kabour. Hawa waliasi upinzani.

Kumbe na tambwe ni wa kigoma? Basi hawa watu watakuwa na tatizo, napata hofu kuwapa uraisi wanaweza confiscate nchi Burundi au Congo
 
Yawezekana kisife lakini kutegemea ndo kitakuwa chama tawala ni UPUMBAVU wa kiwango cha juu mno.
 
mmechanganyikiwa, sasa mnaonesha jinsi mlivyokuwa wehu, mnaropoka tu, chadema wamethubutu kuwahakuna maarufu mtu kwenye chama, ccm hawawezi hilo mchukuenihuyo zito muone huo umaarufu wake.
 
Chama gani cha siasa wanaosaliti na kukiuka kanuni ni wa kabila nje ya wachaga Wakati kimejaa wachaga tu. Jiulize na chukua hatua sasa na kutoka familia ya Mushi, minja, lyimo, Urasa, Chuwa, Lema, mtei n.k.

Hivi wachaga mlio ccm mnasubiri nn?mbona mnafukuzwa huko lakini hamtoki?
 
Muda si mrefu baada ya uchaguzi mkuu kuisha Mwaka huu naiona chadema ikisambaratika. Amini nawambieni na asiye na masikio na asikie.

Alamsiki.

Unabii wa namna hii umetolewa mara nyingi sana, na kadri wanavyosema hivyo ndivyo Chadema inazidi kupata. Tungoje tu muda utasema.
 

Similar Discussions

Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…