Fund man
JF-Expert Member
- Feb 24, 2021
- 3,462
- 4,543
Haswaaaah!!!!Endeleeni tu kufunguka. Sisi wengine tutakuwa tunasoma tu.
Haswaaaah!!!!Endeleeni tu kufunguka. Sisi wengine tutakuwa tunasoma tu.
Kuwa uyaone"walinena wahenga"Mumewe alikuwa boya.
Huwezi juaNi tamaa tu za kimwili lakini hana lolote
Mkuu ni ngumu sana mwanamke kumkataa mtawala diktetashauri ya umasikini
Mbona mpole vile?Dah Ila anjela ni mswahili jaman nasemaga Kama siyo siasa yule dada angekua hadija kopa namba moujer
Haya ni matumizi mabaya ya ukuu na mtura, snakula wazee na wake za watu, bora jk alitafuna kinda kabisa.Ummy alipewa uwaziri
Kairuki alipewa uwaziri
Joketi UDC
Sundi Ukaguzi wa migodi
Alikuwa anawakumbuka sana.
Yes kazi yetu kuwafikisha vileleniWanawake wa kiafrika wanapenda sana kubebwa na wanaume kwa kutumia mahaba kama qualification criterion.
Angalia wanawake wote walio ktk nafasi zenye ushawishi mkubwa katika nchi hii lazima utakuta nyuma yake kuna mwanaume, anzia juu kabisa kushuka chini.
Hakuna mwanamke anayeweza kufika kileleni bila kusaidiwa na mwanaume, kama yupo mniambie ni nani na uangalie usiropoke usije ukaumbuka bure humu.
Huyo anayesemwa humu hayuko peke yake, wanawake wote, hasa wa kiafrika, hiyo ndio hulka yao. Tuseme tu ukweli, isingekuwa mwanamme leo hii tusingekuwa na rais mwanamke, watu wazima watanielewa. So please leave Angela alone.
Kama anajielewa hawezi kudhalilisha utu wake kwa ahadi ya cheoMkuu ni ngumu sana mwanamke kumkataa mtawala dikteta
Mume wakeBwana ake ni balozi China
Ni basha wake hana mumeMume wake
Ni hiyo rangi tu ndiyo huyo mshamba alikuwa anababaika nayo lakini hana hata chembe ya uzuri.
kama mambo yenyewe ndo haya acha watu watoane ngeu kugombania jumba jeupe
Kuna yule Das sijui alipelekwa wapi yuleChina kwa mumewe hahaha, mwendazake alikuwa na mambo aisee
Hivi yale mataa yanayomulika kisarawe bado yapo?!
Acha umbea.Wakurungwa salam,
Kulikuwa na Waziri anayeitwa Dr. Angela Kairuki nadhani mara ya mwisho kumsikia masikioni mwangu enzi za Mwendazake alikuwa ni Waziri wa Nishati.
Siku hizi amepotea kabisa katika ngoma za masikio zangu. Hivi bado ni Waziri? Yupo wapi siku hizi? Bado ni Mbunge au Ubunge wake ulikwisha?
Mbele ya Mfalme Daudi na yeye ni Mke wa Uria? na Uria yuko vitani?
Kumbe mjane alikuwa analia kwa Mengi sanaKwa niliyoyasoma humu basi bila Shaka mjane amefarijika Sana na hakika stress zimeshaisha kabisa. Hongera Sana mama kwa uvumilivu mkubwa.
Wewe umejuaje?Hamfikii mama tamisemi.
Tena wanavyopenda vyeupe ingekuwa balaaHhahahahah......vipi angekuwa poti kutoka kule Mara, nafikiri bucha ingefunguliwa dakika sifuri.