Mkuu hiyo ingekuwa vise versa .
Namaanisha wale wanaomsifia Mtukufu wa sasa wangekuwa ndio wakosoaji wakubwa kwa Raisi wa mioyo ya watu. Na wale wanaompinga Mtukufu kwa sasa ndio wangekuwa wasifiaji wakubwa kwa Raisi wa nyoyo za watu.
Kama yepi kwa mfano?
Mkuu umesemaa!!ebu kaa sehemu nzuri bhana ucoment vizuri huku imekuja vumbiLowassa asingefanya huo upuuzi, angefanya mambo ya msingi!

Ndivyo hivyo mkuu...Kwa hiyo kumbe ingekuwa ni politics as usual!
Lowasa alishaga lalamika kuwa wafanya biashara wake wanaonewa hapendi walipe kodi kwanini serikali ya awamu ya 5 inawaonea sana awajazoea shida hiyo, na viongozi wa chadema walisha tuonya mapema kumpa Lowasa nchi ni hatari sana.(Tundu Lisu)
Hata mimi huo unafiki wako ndio ninaouchukia.Huo unafiki ndo ninaouchukia mno.
Hata mimi huo unafiki wako ndio ninaouchukia.
Nyinyi kazi zenu si kumuimbia mtukufu nyimbo za kusifu na kuabudu tuu! Halafu bado hujahakikiwa wewe!Mkuu umesemaa!!ebu kaa sehemu nzuri bhana ucoment vizuri huku imekuja vumbi![]()
![]()
Sabalkheri wanaJF na Alhamisi njema kwenu nyote na popote pale mlipo pembe ya dunia hii.
Sasa leo hebu tulonge kidogo ki-nadharia tete. Nimekaa kwa muda mrefu sana sasa nikijiuliza juu ya swali hili bila kupata jibu la uhakika.
Tuseme ingetokea mgombea urais kwa tiketi ya CHADEMA ndo angeibuka mshindi wa kinyang'anyiro cha urais mwaka jana.
Halafu baada ya kuanza kazi akafanya mengi kama aliyoyafanya rais wetu wa sasa MTUKUFU Dkt. John Pombe Joseph Magufuli...
Yaani akapiga marufuku safari za hovyo hovyo za nje ya nchi, akaagiza baadhi ya sikukuu za kitaifa tubadili namna tunavyozisherehekea kitaifa, akawa ni mtu wa kukaa nchini muda mwingi na kutuma wawakilishi pale inapobidi, akatumbua majipu hadharani na faraghani, akanunua ndege mpya kwa lengo la kufufua shirika letu la ndege, na kadhalika na kadhalika.
Swali ibuka ni je, watu wanaompinga rais Magufuli sasa hivi, pia wangempinga Lowassa kama angekuwa ndo yeye anayafanya hayo anayoyafanya Magufuli?
Au wangemmiminia sifa kemkem na kusema kwamba acha awanyooshe maana walikuwa wamezoea?
Lowassa asingeweza kufanya mambo kama haya ya sasaSabalkheri wanaJF na Alhamisi njema kwenu nyote na popote pale mlipo pembe ya dunia hii.
Sasa leo hebu tulonge kidogo ki-nadharia tete. Nimekaa kwa muda mrefu sana sasa nikijiuliza juu ya swali hili bila kupata jibu la uhakika.
Tuseme ingetokea mgombea urais kwa tiketi ya CHADEMA ndo angeibuka mshindi wa kinyang'anyiro cha urais mwaka jana.
Halafu baada ya kuanza kazi akafanya mengi kama aliyoyafanya rais wetu wa sasa MTUKUFU Dkt. John Pombe Joseph Magufuli...
Yaani akapiga marufuku safari za hovyo hovyo za nje ya nchi, akaagiza baadhi ya sikukuu za kitaifa tubadili namna tunavyozisherehekea kitaifa, akawa ni mtu wa kukaa nchini muda mwingi na kutuma wawakilishi pale inapobidi, akatumbua majipu hadharani na faraghani, akanunua ndege mpya kwa lengo la kufufua shirika letu la ndege, na kadhalika na kadhalika.
Swali ibuka ni je, watu wanaompinga rais Magufuli sasa hivi, pia wangempinga Lowassa kama angekuwa ndo yeye anayafanya hayo anayoyafanya Magufuli?
Au wangemmiminia sifa kemkem na kusema kwamba acha awanyooshe maana walikuwa wamezoea?