Kwa Tanzania watu wanapenda kuwatumikia wananch pale tu Posho zao na Malupulupu yanapoimarika.Angalia posho zilipanda kwa siri lakini hakuna Mbunge aliyefichua Ufisadi huo.Mpendazoi alijitoa CCM na kwenda CCJ WABUNGE WENGI WALIMSIKITIA KUKOSA mafao!Sasa humu ndani Watu wanamhurumia Kafulila kwa kukosa Posho na si nafasi ya kuwatetea watu ktk Ukweli.Kafulila kasema Mbatia ni Kibaraka wa CCM.sasa hapa kuna uongo?. Ni kweli kafukuzwa na mkweli na muongo hawakai pamoja.