Socratic
JF-Expert Member
- Dec 18, 2014
- 568
- 308
Umeshajipambanua imani yako. Kujaribu kukusaidia katika hili ni sawa na kumfundisha samaki kupanda Juu ya miti. Mwenye kudanganya na aendelee kudanganya sana, mwenye kutenda dhambi na azitende sana.Hapanda msio ukweli wenyewe tatizo nikwamaba ulisha aminishwa tangu udogo wako hivyo ningumu kuukubali ukweli , lakin yesu si mungu na ndio maana hata yeye mwenyewe yesu humuomba mungu.