Angalieni Star tv live NOW!

Angalieni Star tv live NOW!

Mkuu hawa watu wamekuwa wapuuzi kupita kiasi Imani yangu inaenda inazidi kupungua kwao, Huwezi ambatana na Rundo la watu wamekutoka nyuma au wanakusimamia kwa lipi?

Wagonjwa wa Kifafa ndio huwa wanasimamiwa nyuma asije akaangukia kisogo ubongo ukamwagika.
Wanajifanya na wao ni kama Yesu alipokua anaongozana na wanafunzi wake
 
Hivi hizi jumuiya za Kikristo hazina wajibu kufuatilia vitu basic kama hivi? Tofauti za madhehebu zipo lakini huwezi kujiita Mkristo huku ukiamini Yesu si Mungu! Huku hujui Yesu ni Mungu kweli na mtu kweli!
inasikitisha sana kwakweli kuna siku nilimsikiliza huyo jamaa toka muda huu sikuwa na hamu ya kumsikiliza tena ilikuwa ile siku hadi magufuli aliwapigia simu walipokuwa wanatoa msaada wa zahanati. MPINGA KRISTO YUPO KAZINI WATEULE TUWE MACHO
 
Huyu jamaa Na lisauti lake ni wapotoshaji.
Kuna mchagga mmoja ndiye aliyeanzisha hilo kanisa hapo Mbezi Beach wao ndio Wana mregard kama Yesu. Huyo Mchagga ndio wanamuita Elia Adam wa pili.
Jamaa alikufa miaka kadhaa nyuma wakaanza kusambaza uzushi eti ameonekana akipaa Huko Bagamoyo
Hata kama wana uhuru wa kuabudu,not to that extend.
 
Yohana 4. 23-24
e1daf6538ca1a2998aefcc3dfee3e4b0.jpg


Cc Smart911
 
Tofauti kati ya neno la Mungu na dini
  • neno la Mungu humuweka mtu huru kwa kumkiri Kristo kwa matendo
  • dini ni bonge la gereza hapa duniani kwa baadhi ya wakristo hivyo dini ni kifungo cha kujitakia
 
Bagamoyo mkuu nikiendaga kwake kwa kweli kwenye salamu tunakwaruzana sana wanasalamu yao ya shika neno basi hata ukisema shikamoo anaitikia tenda neno yaani ili mradi tu....sijui yule jamaa katumia uchawi gani
umenikumbusha mbaba mmoja jirani yetu Kila akija nyumbani anatupa mahubiri ya kisloam na kutulazimisha tukasali Siloam

Sisi sio wa Siloam ila akija salamu nihiyo utafikiri Sisi tunaijua sasa: utamsikia shika neno.. Tenda neno iliojaa sijui vitakataka gani..
mambo yake ni kama aliechanganyikiwa fulani
 
Hivi hizi jumuiya za Kikristo hazina wajibu kufuatilia vitu basic kama hivi? Tofauti za madhehebu zipo lakini huwezi kujiita Mkristo huku ukiamini Yesu si Mungu! Huku hujui Yesu ni Mungu kweli na mtu kweli!
Haya mambo ni magumu kwa mlei(mtu mwenye ufahamu mdogo/wakawaida juu Mungu)
 
Wanavaaga nguo nyeupe tuu ktk kuabudu.
Hawa jamaa huwaambii kitu. Mimi ni mkristo lakini hawa jamaa hawafai hata kidogo. Kuna ugomvi ulitokea ktk familia moja hapo tegeta. Yaani Munuo kabla hajafa alitangaza mbele ya kanisa kuwa amepata maono ya nani wa kuamuachi kanisa endapo akifa. Akampata jamaa mmoja mwenye juhudi ambae alikuwa msaidizi hapo kanisani. Jamaa alikuwa msomi mwenye kazi yake. Sasa ili amshawishi awe full time hapo kanisani ikabidi amwambie aache kazi na achome vyeti vyake vyote ili atumike vuzuri kanisani. Hii ikaleta mtafaruki ktk familia ya yule jamaa sana. Lakini mwishowe jamaa aliacha kazi na kuchoma vyeti vyote. Munuo alipofariki jamaa akashika kanisa lakini ukaibuka mgogoro wa kimaslai kati ya jamaa na mke wa Munuo akidai kuwa yeye ndo anatakiwa aendeshe kanisa. Sijui mgogoro wa o uliishia wapi
 
Back
Top Bottom