Yalishatabiriwa hayo kwenye BibleHalafu hii Tabia ya watumishi wa Kiroho kutembea na watu nyuma sijui wameitoa wapi yaani mtu anasimamiwa nyuma kama mgonjwa wa kifafa.
Mkuu ule mgogoro kama kumbukumbu zangu zitakuwa sawa mpaka serikali ilitishia kulifunga hili kanisa lakini kilichotokea ni kugawanyika kwa kanisa so kunasiloam church za aina mbili wapo wanaomfata mke wa marehemu na wengine wanamfata sijui ni naniWanavaaga nguo nyeupe tuu ktk kuabudu.
Hawa jamaa huwaambii kitu. Mimi ni mkristo lakini hawa jamaa hawafai hata kidogo. Kuna ugomvi ulitokea ktk familia moja hapo tegeta. Yaani Munuo kabla hajafa alitangaza mbele ya kanisa kuwa amepata maono ya nani wa kuamuachi kanisa endapo akifa. Akampata jamaa mmoja mwenye juhudi ambae alikuwa msaidizi hapo kanisani. Jamaa alikuwa msomi mwenye kazi yake. Sasa ili amshawishi awe full time hapo kanisani ikabidi amwambie aache kazi na achome vyeti vyake vyote ili atumike vuzuri kanisani. Hii ikaleta mtafaruki ktk familia ya yule jamaa sana. Lakini mwishowe jamaa aliacha kazi na kuchoma vyeti vyote. Munuo alipofariki jamaa akashika kanisa lakini ukaibuka mgogoro wa kimaslai kati ya jamaa na mke wa Munuo akidai kuwa yeye ndo anatakiwa aendeshe kanisa. Sijui mgogoro wa o uliishia wapi
Imani zingine huwa ni magereza ya fikra bila kujuaanasema kiongozi wao alinyakuliwa kama Yesu,anavilaumu vyombo vya habari havikurusha lile tukio na wengi hawakubali huu ukweli kua yule kiongozi wao Adam Elia wa pili alinyakuliwa
Huo ndo uhuru wa kuabudu usiwapangie kila mtu na imani yakeHivi hizi jumuiya za Kikristo hazina wajibu kufuatilia vitu basic kama hivi? Tofauti za madhehebu zipo lakini huwezi kujiita Mkristo huku ukiamini Yesu si Mungu! Huku hujui Yesu ni Mungu kweli na mtu kweli!
Yani usithubutu kwenda huko unaeza logwa bila kujijua![]()
![]()
dadangu alienda kuombewa kwao.kurudi mara ya pili wanamwambia awe msiloam kabisa..na kuanzia siku hiyo ataitwa DHABIHU
yupo hapa ananisimulia anacheka
Kweli hata mimi nilisikia hii storyHuyu jamaa Na lisauti lake ni wapotoshaji.
Kuna mchagga mmoja ndiye aliyeanzisha hilo kanisa hapo Mbezi Beach wao ndio Wana mregard kama Yesu. Huyo Mchagga ndio wanamuita Elia Adam wa pili.
Jamaa alikufa miaka kadhaa nyuma wakaanza kusambaza uzushi eti ameonekana akipaa Huko Bagamoyo
Halafu hii Tabia ya watumishi wa Kiroho kutembea na watu nyuma sijui wameitoa wapi yaani mtu anasimamiwa nyuma kama mgonjwa wa kifafa.

ni mfuasi... ameacha yote na kuamua kumfuata popote atakapo enda... sasa sijui hata akiwa na mamsapu nipoze roho mamaa nimechanganyikiwa kwa penzi lako... [HASHTAG]#Kwa[/HASHTAG] sauti ya Prof j"Halafu hii Tabia ya watumishi wa Kiroho kutembea na watu nyuma sijui wameitoa wapi yaani mtu anasimamiwa nyuma kama mgonjwa wa kifafa.
hivi nahuu mtindo wao wa kuomba mbona sielewiiYani usithubutu kwenda huko unaeza logwa bila kujijua
hawa dada zetu nao ni shida hasa wa mikoani wakija mjini wana jifanya dini wana ifahamu kweli... dada yetu na sisi aliwahi kung'ang'ania kwa mchungaji japo mchungaji ana mke na watoto lakini na yeye anatafuta wokovu... tena tulimtafuta kweli kweli mpaka tukaja ambiwa yupo kanisa moja mjini...Mkuu ninadada angu anasali hilo kanisa ni shida humwambii kitu
Kwani wewe unaamini Yesu ni naniHivi hizi jumuiya za Kikristo hazina wajibu kufuatilia vitu basic kama hivi? Tofauti za madhehebu zipo lakini huwezi kujiita Mkristo huku ukiamini Yesu si Mungu! Huku hujui Yesu ni Mungu kweli na mtu kweli!
Fukusa...Mkuu ninadada angu anasali hilo kanisa ni shida humwambii kitu