Mafwi Munda
JF-Expert Member
- Nov 30, 2017
- 1,750
- 1,604
Unadhani mungu angemuita Abraham kwa jina lake la awali asingeitika?! Yani unasema mungu alimpa jina ili iwe simple kumu identify mahala popote, yaani unaamini kuna majina magumu hata kwa mungu hadi naye atafute majina simple?!mkuu kwa nn nikkuita jina hata kama mko kumi hapo kwenye group utaitika? vile hata Mungu alimpa abram jina jipya ili iwe simple kumuidentify mahala popote atakapokua.
ntakujibu zaidi nikiwa na mda nikupe somo juu ya kumpa mtu jina hasa hayo ya kizungu
Nilikuuliza, je Yesu/Jesus naye alipewa jina la ubatizo alipobatizwa na Yohana?! Nini maana ya ubatizo ni jina jipya au nini?! Na kwanini ubatizwapo upewe majina ya kuzungu tu?! Kuna uhusiano gani haya Majina ya kizungu au kiarabu na maisha ya kiroho?! Natanguliza shukrani.