Angalieni Star tv live NOW!

Angalieni Star tv live NOW!

Anyway ....mjadala wa Utatu Mtakatifu ni mzito na hatuwezi kufikia hata theluthi ya majadiliano yaliyokwisha fanyika ....itoshe kuamini Mungu mmoja ana nafsi tatu ....Baba, Mwana na Roho Mtakatifu ....yeyote anayehubiri kinyume na hili si Mkristo ....
Hiyo ni kweli
 
Anyway ....mjadala wa Utatu Mtakatifu ni mzito na hatuwezi kufikia hata theluthi ya majadiliano yaliyokwisha fanyika ....itoshe kuamini Mungu mmoja ana nafsi tatu ....Baba, Mwana na Roho Mtakatifu ....yeyote anayehubiri kinyume na hili si Mkristo ....
Unaona sasa.....

Umeshindwa kujibu ata swali moja nililo kuuliza ulipata vipi ujasiri wa kumkosa huyo mtu WA Silo amu?
 
Unaona sasa.....

Umeshindwa kujibu ata swali moja nililo kuuliza ulipata vipi ujasiri wa kumkosa huyo mtu WA Silo amu?
Nimesema ninachoamini ...na wewe sema unachoamini ....then mjadala uanzie hapo ....Umesikia alichosema Mhubiri? Kama hujamsikia usiibue mjadala mwingine ....kama umemsikia sidhani kuna mjadala hapa ....ndio maana nikakuuliza umebatizwaje hukujibu ...ningejua unaamini nini ....
 
Halafu hii Tabia ya watumishi wa Kiroho kutembea na watu nyuma sijui wameitoa wapi yaani mtu anasimamiwa nyuma kama mgonjwa wa kifafa.
Wee jamaa umenichekesha sana...anyway jaribu kuwahesabu na wakifika 12 basi tujuwe wana copy na kupaste toka kwa yesu original.
 
Nimesema ninachoamini ...na wewe sema unachoamini ....then mjadala uanzie hapo ....Umesikia alichosema Mhubiri? Kama hujamsikia usiibue mjadala mwingine ....kama umemsikia sidhani kuna mjadala hapa ....ndio maana nikakuuliza umebatizwaje hukujibu ...ningejua unaamini nini ....
Nimejibu nimebatizwa.

Mbona unalalamika while simple question km hili unashindwa kujibu...

Unaposema Mungu ni mmoja ktk nafsi tatu unakua una maana gani?
 
Labda unijibu maswali yafuatayo then niweze kujadiliana na wewe ...

1) Wewe ni Mkristo?
2) Umebatizwa kwa jina la Baba, Mwana na Roho Mtakatifu?
3) Kwako Yesu ni nani?

Then nitajua najadiliana na mtu wa namna gani ili nijue mjadala huu utazaa nini .....
Mimi naomba nitoke nje ya mada mkuu. Hiyo number 2. Kwenye ubatizo. Yesu alipo batizwa na yohana, naye alipewa jina la ubatizo?! Wakatoliki hubatiza kwa kwa jina la baba na la mwana na la roho mtakatifu, na hutoa jina la ubatizo. Hii falsafa/dhana ya ubatizo na majina ya ubatizo ilianzia wapi na inamaanisha nini?! Ubatizo ni jina jipya?! Au ni nini maana yake?! Nimewahi kuuliza (majina ya kizungu na kiarabu na maisha ya kiroho) humu sikupata jibu nauliza tena kwa nia nzuri na katika kutaka kufahamishwa. Asante.
 
Nimemsikiliza yupo sahihi mungu ni mungu na yesu ni yesu anaye takiwa kuabudiwa ni mungu baba na sio mungu mwana, mungu mwana ni daraja na si mungu, kaongea logic ambayo wakrito wengu walishwa maneno watapinga,
Huu ni uzushi na upotofu
 
Nahisi kuna issue nyuma ya pazia kwenye makanisa ya kiroho...
kuna mtu alinambia Watawala wa dunia wanatumia makanisa ya kiroho kutenganisha watu kwa kupunguza nguvu ya roman catholic.... Iliwatawale dunia kirahisi...

Kupata ufadhiri wa kanisa la kilokole ni rahisi kama kupata ufadhiri kwa taasisi inayosupport mashoga

Nia yao ni kuua socialism, catholic, and muslim
 
Duuh haya bwana na Mungu ni Yesu? Kweli imani zina tufanya tusifikirie kwa akiri zetu
Hii mijadala ishajadiliwa karne kibao zilizopita... Watu wenye akili zao huwa hawabishani

Ushauri wangu take a time ugoogle usome mitazamo ya watu mbalimbali duniani, hata wasomi wakubwa wa zamani ujue walitazama vp haya mambo....baada ya hapo utawaelewa watu tofauti tofauti mitazamo yao, hakutakua na haja ya abishano

NB
Huu sio muda wa kubishana nguruwe haramu au si haramu..., nyoka analiwa au haliwi....punda analiwa au haliwi....
 
Hapanda msio ukweli wenyewe tatizo nikwamaba ulisha aminishwa tangu udogo wako hivyo ningumu kuukubali ukweli , lakin yesu si mungu na ndio maana hata yeye mwenyewe yesu humuomba mungu.
Unaposema Yesu si Mungu unakua na maana gani? Kwamba hana ile hali ya uungu au vipi?
 
Wakristo biblia iko wazi na imeandikwa kwa lugha ya kueleweka, kama utaki kusoma na kujifunza basi subiri watu wakusomee na wakutafsirie, kwa ajili ya uvivu wako Wa kujifunza, open your eyes
 
Back
Top Bottom