msigazi
JF-Expert Member
- Sep 1, 2017
- 471
- 351
Hiyo ni kweliAnyway ....mjadala wa Utatu Mtakatifu ni mzito na hatuwezi kufikia hata theluthi ya majadiliano yaliyokwisha fanyika ....itoshe kuamini Mungu mmoja ana nafsi tatu ....Baba, Mwana na Roho Mtakatifu ....yeyote anayehubiri kinyume na hili si Mkristo ....