Ambitious
JF-Expert Member
- Dec 26, 2011
- 2,144
- 875
ni kahoteli tu kanakouza kikombe kidogo cha kahawa kwa bei ya msosi.
Crystal clear..
ni kahoteli tu kanakouza kikombe kidogo cha kahawa kwa bei ya msosi.
Hahaha sikuvumilia pale nilidhani atanipa pale pale nikamle cha chap chap kumbe kama ndoto vile..I dedicate this song to her mana kaniwacha kwenye ndotomkuu ulikosea,ungevumilia kidogo labda ungepata matamu zaidi
Jana nilikuwa nimebana kwenye corner moja pale starbucks na piga coffee, mara wakatokea wasichana wawili waka kaa karibu na pale nipo mimi kwenye meza ya pili...wakanza kupiga kizungu chao yule msichana mmoja akawa anamwambia mwenzake hivi kwa kizungu...Thank God am Just 23 not 30yrs, so am free to make mistakes, she further said that she is yet to bleep different guys to taste how sweet.
Ikabidi nishindwe kuvumilia nikafanya hivi mhhhm haaam mwenzake anaye sikiliza akanitazama, alipo nitazama nikamwambia tell her to mark me as the next guy to pump her.
Wakaiinuka zao mbio mbio huku wanacheka kwa aibu, sasa swali nalo jiuliza mpaa mda hu, je huyo mwanamke ni kweli anafanya hayo au anataka kumpoteza mwenzake.
ni kahoteli tu kanakouza kikombe kidogo cha kahawa kwa bei ya msosi.
Hapo ndo mnapokosea step, mara nyingi sana kutaka kufanya sex na kufanya sex ni vitu viwili tofouti kabisa.hivi fazaa we c una mkembona unapenda kurukaruka c utulie na mke wako
hahaha! wewe fazaa una tabia mbaya.Hapo ndo mnapokosea step, mara nyingi sana kutaka kufanya sex na kufanya sex ni vitu viwili tofouti kabisa.
Mana ya kutaka kufanya sex; Ni unataka kufanya sex, lakini hujafanya sex bado:violin:
Maybe.
Hapa umeongea point, hawezi kufanya mistake hata siku moja...Super.
Aaa mimi huwa sisumbui sana kichwa changu kwa wanawake, nikiwapata nimewapata na kama nikiwakosa nimewakosa, watatokeza wengine tu.In other words roho isikuume sana kua ulikosea approach! Ile yeye kujua ulimsikia asingeweza kukubali labda kwa dawa.
FYI hapo nilikua naongelea wanawake ambao wanaonyesha kama waswahili vile sijui wazanzibar, au wa bara mana walikuwa na piga kimombo mazee :cool2:kama unazungumuzia wasichana wa kitanzania
ni mada tofauti
na kama unazungumzia western young women....ni mada nyingine kabisa
hapa kuna 'tofauti ya culture' kuhusiana na sex....
na hata waarabu wana yao.....
kizazi cha kenge