fazaa
JF-Expert Member
- May 20, 2009
- 2,984
- 1,030
Ok JF, there is these babe I just got connected to, we've been getting along so well na wala sijafikiria kama yuko katika relationship na mwanaume mwingine until I decided to ask her.
BTW, I really like her personality, and I think she likes me too..siku zote tunawasiliana kwa njia ya simu, fb msgs etc.
Yani utani pembeni kakamilika kama wanawake ambao nao taka kuoa au nilie owa, ukitazama pande zote she is a good girl just that this guy met her before me sababu wanasoma university, katika same collage of medicine...Nataka kujaribu kumsahau kabisa katika moyo wangu, lakini kuna kitu najiuliza kuhusu huyo msichana....what if her present guy is not the right guy for her, and shes just tied down by the relationship?
I want to do the right thing but in this case I really don't know what is right, je ni wachane naye?
If I do, am I going to be a looser sababu she just happen to be wale amabao wana exist in my specification...Hajaposwa na mwanaume ambaye yuko naye sasa na wako pamoja kama miezi minane kama sijakosea kutokana na kauli yake yule msichana.
Hebu nipeni mawazo yenu nimtaifishe jamaa au niwache kwanza nione mwisho wao, naogopa huyo akakosa na mimi nikakosa, akaja mwingine ana maspeed kuliko yetu akamchukua jumla jumla.
BTW, I really like her personality, and I think she likes me too..siku zote tunawasiliana kwa njia ya simu, fb msgs etc.
Yani utani pembeni kakamilika kama wanawake ambao nao taka kuoa au nilie owa, ukitazama pande zote she is a good girl just that this guy met her before me sababu wanasoma university, katika same collage of medicine...Nataka kujaribu kumsahau kabisa katika moyo wangu, lakini kuna kitu najiuliza kuhusu huyo msichana....what if her present guy is not the right guy for her, and shes just tied down by the relationship?
I want to do the right thing but in this case I really don't know what is right, je ni wachane naye?
If I do, am I going to be a looser sababu she just happen to be wale amabao wana exist in my specification...Hajaposwa na mwanaume ambaye yuko naye sasa na wako pamoja kama miezi minane kama sijakosea kutokana na kauli yake yule msichana.
Hebu nipeni mawazo yenu nimtaifishe jamaa au niwache kwanza nione mwisho wao, naogopa huyo akakosa na mimi nikakosa, akaja mwingine ana maspeed kuliko yetu akamchukua jumla jumla.