technically
JF-Expert Member
- Jul 3, 2016
- 13,562
- 57,886
Kenya inakaribia kumpata jaji wao mkuu ambapo nafasi hiyo ya kazi ilitangazwa mwez uliopita watu zaidi ya 800 wakaomba !!
Sasa wamechujwa wamebaki majaji 6
Lazima apatikane mmoja kabla ya mwezi October
Hadi raha wenzetu kiasi wanapiga hata katika mambo ya kimfumo !